Mi kinachonikera ni watu kuvaa kidevuni, mfano Mbatia jana, alivyokua anaongea na waandishi wa habari, huku amevaa kidevuni, huo ni ulimbukeni tu, ni kama dr kumkuta nje au kwenye studio akihojiwa huku ametundika stethoscope mabegani.
Mbona hawatembei na syringe kwenye corido za hospitali!
Pia kwenye ishu ya corona, kumzuia mtu kuvaa mask hata kama ni kitambaa kuziba pua na mdomo, huku una msisitiza akipiga chafya ajizipe mdomo kwa kitambaa kuepusha kusambaza vijidudu ni kujichanganya, ni bora kusisitiza kuvaa mask kuliko kuwakataza.