johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Nimecheka sana bwashee![emoji23][emoji23] bwashee habari ya nipo wapi tusiulizane maane nyie sio watu 'wazuri' ila sio kaskazini hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...tatizo mambo ya kitaalaam yanatolewa na wanasiasa....Asante kwa hii, kiukweli elimu kuhusu Corona na jinsi ya kujinginga inahitajika sana!
P
Ha haaaa,niko kanda pendwa huku mkuu. Ila tujitahidi kupaza taarifa kwa wananchi.Nimecheka sana bwashee!
Hakuna wanachojizuia bwashee!
Mi kinachonikera ni watu kuvaa kidevuni, mfano Mbatia jana, alivyokua anaongea na waandishi wa habari, huku amevaa kidevuni, huo ni ulimbukeni tu, ni kama dr kumkuta nje au kwenye studio akihojiwa huku ametundika stethoscope mabegani.Kuna mjadala wa jinsi ya kujikinga na virusi vya Corona unaendelea muda katika luninga ya Channel Ten.
Mtaalamu Dr Elly Josephat kutoka MAT anasema kuvaa maski kwa mujibu wa maagizo ya WHO ni kwa wale wanaohudumia waathirika na wale wanajishuku au kuhisi kuwa wameathirika.
Na kuna jinsi ya kuvaa hizi maski, kama wewe unamhudumia muathirika ule upande wenye rangi ya blue ambao ndio una dawa unakuwa nje na kama wewe ni muathirika upande wenye rangi ya blue unakuwa ndani ili pumzi au sauti inapotoka tu inakutana na dawa kinga.
Source: Channel Ten
Na nguvu inayotumika kupambana na upinzani Kama itahamishiwa kupambana na Corona, tutasalimika.Mkazo ni kupambana na CHADEMA.
Bwashee hujakatazwa kuvaa maski!Mi kinachonikera ni watu kuvaa kidevuni, mfano Mbatia jana, alivyokua anaongea na waandishi wa habari, huku amevaa kidevuni, huo ni ulimbukeni tu, ni kama dr kumkuta nje au kwenye studio akihojiwa huku ametundika stethoscope mabegani.
Mbona hawatembei na syringe kwenye corido za hospitali!
Pia kwenye ishu ya corona, kumzuia mtu kuvaa mask hata kama ni kitambaa kuziba pua na mdomo, huku una msisitiza akipiga chafya ajizipe mdomo kwa kitambaa kuepusha kusambaza vijidudu ni kujichanganya, ni bora kusisitiza kuvaa mask kuliko kuwakataza.
Upinzani upi huo bwashee!Na nguvu inayotumika kupambana na upinzani Kama itahamishiwa kupambana na Corona, tutasalimika.
Sent using Jamii Forums mobile app