Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Wanaume ni vipimo (units) 3 kwa siku au 21 kwa wiki.
Kipimo kimoja = chupa 1 ya bia; bikari 1 ya mvinyo = Tot moja ya whisk, gin, konyaji nk.
Wanawake: Wasizidishe vipimo (units) 3 kwa siku au 14 kwa wiki.
Wajawazito: Hawaruhusiwi kunywa kabisa. Ikiwa ni lazima sana wanywe unit 1-2 mara moja au mbili kwa wiki na kabisa wasijaribu kulewa
Bikari ya mvinyo ndiyo kidudu gani kaka?
kuna mama mmoja tunakaa nae huku mtaani ni Mjamzito ila anagonganye Castle lite
nimemwambia hairuhusiwi lakin naona mmaza haelewi wala nini
Huyo mtoto wake atakayemzaa itakuwa bila gongo ya Muhogo halewi.kuna mama mmoja tunakaa nae huku mtaani ni Mjamzito ila anagonganye Castle lite
nimemwambia hairuhusiwi lakin naona mmaza haelewi wala nini
Huyo mtoto wake atakayemzaa itakuwa bila gongo ya Muhogo halewi.
Kwa hisani ya watu wa wapi vile...
Kumbe mimi Ambiente Guru napatia sana unywaji wangu yaani ni hivyohivyo,na saa hizi jioni nikitoka kazini napiga hizo units 3 tu za Castle Lager narudi home.
Wanaume ni vipimo (units) 3 kwa siku au 21 kwa wiki.
Kipimo kimoja = chupa 1 ya bia; bilauri (glass) 1 ya mvinyo = Tot moja ya whisk, gin, konyaji nk.
Wanawake: Wasizidishe vipimo (units) 3 kwa siku au 14 kwa wiki.
Wajawazito: Hawaruhusiwi kunywa kabisa. Ikiwa ni lazima sana wanywe unit 1-2 mara moja au mbili kwa wiki na kabisa wasijaribu kulewa
mhhh.. haya tumeipokea. nitajaribu kuifanyia kazi japo ni ngumu sana. hii ina apply na weekends?
huu ndo ukweli ila ....usishangae....watu wakikupinga ........huu ni ufukara ambao unarithishwa kwa vizazi vijavyosiku = units 3
wiki =units 21 au (kreti moja)
mwezi = kreti nne
mwaka= kreti 48
mwaka =units 1,200
let say unit moja = tshs. 2,000
jumla = 2,000*1,200 = ths. 2,400,000/=
na hii ni bajeti ya units ambayo imebarikiwa na madaktari bado ya waleeee " vya pombe" ndiyo maana si ajabu kodi za pombe zinaendesha maisha.
Mshahara kima cha chini = tzs 200,000/* 12 = tzs 2,400,000/=
Siku = Units 3
Wiki =Units 21 au (Kreti Moja)
Mwezi = Kreti Nne
Mwaka= Kreti 48
Mwaka =Units 1,200
Let say unit moja = TSHS. 2,000
Jumla = 2,000*1,200 = THS. 2,400,000/=
Na hii ni bajeti ya units ambayo imebarikiwa na madaktari bado ya waleeee " vya pombe" ndiyo maana si ajabu kodi za pombe zinaendesha maisha.
Mshahara Kima Cha Chini = TZS 200,000/* 12 = TZS 2,400,000/=
hapo bado hatujarudi kwenye imani zetu zinatuambia nini juu ya pombe/uraibu
kuna mama mmoja tunakaa nae huku mtaani ni Mjamzito ila anagonganye Castle lite
nimemwambia hairuhusiwi lakin naona mmaza haelewi wala nini