Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tatizo wanafanya kazi huku wanawaza wanaume kwenda kupasuliwaHako kadaktari ka twitter Celine ni kashenzi....juzi kamepost x-ray ya jamaa kapasuliwa yai mk.ndn...kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!
Ndio shida ya kuwa na madaktari watoto!
Ethics hazizingatiwi
Maadili ni sifuri kabisaWalaumiwe wanaowasimamia , hawa bado wako mafunzoni , pamoja na kujifunza Udaktari lakini wanafundishwa uadilifu pia pamoja na sheria za kazi.
Shida ni kwamba pakiwa na Intern wasimamizi wanaona ndio muda wa kwenda kulewa
Si kuna jina la John na sign yake,kwa mtu yoyote anayemjua atajua ni nani,bila kusahau hyo prescription hapo juu.kwani ukiona mtu anakunywa ARV utashindwa kujua anaumwa nini.Siri ipi ya mgonjwa?
Mgonjwa yupi? Hakuna taarifa hata moja ya mgonjwa hapo....
mgonjwa alitaka nini kwa daktari, natamani ningeona mwendelezo wa maongezi.View attachment 2641578
Nilipokua Mhimbili Intern walimpa mgonjwa dawa za mgonjwa mwingine, Leo Dr Celine anabwaga taarifa za mgonjwa , hawa Intern hawa
sio intern ni mwanafunzi mwaka wa nne, na tangu lini mwanafunzi anasign form ya nhif kama daktari?Nuts ..all in all sijaona kosa la Dr!!
Celine anatafuta attention ya kule twitter, aombe awe ameshavaa joho nje na hapo ajiandae kuapply upya TCU kozi ya mifugoHako kadaktari ka twitter Celine ni kashenzi....juzi kamepost x-ray ya jamaa kapasuliwa yai mk.ndn...kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!
Ndio shida ya kuwa na madaktari watoto!
Ethics hazizingatiwi
**"""kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!""" Mmh kwahiyo kuokota mayai ndo kukasababisha apigwe xray au hapa umetumia tafsida mkuu nimeshindwa kuelewa hili neno *kuokota mayai" maana hata mimi huku nafuga kuku wa kisasaHako kadaktari ka twitter Celine ni kashenzi....juzi kamepost x-ray ya jamaa kapasuliwa yai mk.ndn...kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!
Ndio shida ya kuwa na madaktari watoto!
Ethics hazizingatiwi
Kulikua na haja gani kupeleka kwenye mitandao..?Hakuna taarifa yoyote ya mgonjwa iliyovujishwa ila mgonjwa ndio amevujisha taarifa zake mwenyewe.
Wagonjwa uwa wana tabia za kupiga picha fomu zao,lengo la mgonjwa ilikuwa ni kumtongoza daktari alipoulizwa namba zangu umezitoa wapi ikabidi aonyeshe picha aliyopiga fomu yake.
View attachment 2641578
Nilipokua Mhimbili Intern walimpa mgonjwa dawa za mgonjwa mwingine, Leo Dr Celine anabwaga taarifa za mgonjwa , hawa Intern hawa
Umekuja kumchongea dunianiView attachment 2641578
Nilipokua Mhimbili Intern walimpa mgonjwa dawa za mgonjwa mwingine, Leo Dr Celine anabwaga taarifa za mgonjwa , hawa Intern hawa
Intern-internshipsio intern ni mwanafunzi mwaka wa nne, na tangu lini mwanafunzi anasign form ya nhif kama daktari?
ehh, labda hatuelewani, uyo msichana ni mwanafunzi hajamaliza hata chuo na internship hajaanza!Intern-internship