Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tatizo wanafanya kazi huku wanawaza wanaume kwenda kupasuliwaHako kadaktari ka twitter Celine ni kashenzi....juzi kamepost x-ray ya jamaa kapasuliwa yai mk.ndn...kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!
Ndio shida ya kuwa na madaktari watoto!
Ethics hazizingatiwi