Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumfikiria kabisa Samia
Majanga udini @work. Mbona yy presda alikuwa muslimu na kaimu wake akawa muslim kwa nn sasa haijawa hivyo kwa magufuli
Kwa urais kwakweli Magufuli kura yangu atapata,Wapinzani wafokasi kwenye ubunge na udiwani ili watupiganie katiba ya Warioba, katiba ya Warioba ikipita maanake na mfumo huo tunaoulalamikia utakuwa umefumuliwa na kusukwa upya,hatutaweza kuipata katiba tuitakayo kama Wapinzani hawatapata Wabunge wengi wa kutosha,we don't have to take our eyes off ball man!we need to strategize!
Hamna mvutano wowote JK kaishamaliza kila kitu Magufuli anapangiwa safu.Katika hali isiyotarajiwa, majina matatu yanawapasua vichwa vigogo Nani awe mgombea Mwenza, ambao ni Shamsi Vuai Nahodha, Hussain Mwinyi na Seif Khatib, huku spika Makinda akimpendekeza Amina ili kupata kura za Zanzibar. Karume hataki jina la Nahodha na Dr Shein anaomba Bilal aendelee ili kupunguza uzito wa kampeni Zanzibar.
Source : Mlinzi wa kiongozi mwandamizi.
Update zitakuja baada ya muafaka.
Is It Necesary For A Dr To Graduate Either Of The Medical College/ University?.
Wewe ndo mwenye udini
hufurahii hata mwanamke mwenzio kuteuliwa?
Magufuli ndo kamuona huyu anafaaa
we ulitakaje?
Huu ni ukweli mchungu..Hajamwona, anabalance udini. Waislam wana fujo za kidini haswa. Afadhali amempa muisalm maana jinsi ninavyowajua hata ukiwapa kila cheo bado watalia na kusema wanaonewa. Wao ni kuenewa tu mpaka kaburini