Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015




[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH]Born[/TH]
[TD]23 December 1966 (age 48)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Nationality[/TH]
[TD]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Political party[/TH]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Relations[/TH]
[TD]Ali Hassan Mwinyi (father)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Alma mater[/TH]
[TD]Marmara University(MD)
Hammersmith Hospital (PhD)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Profession[/TH]
[TD]Medical Doctor[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Religion[/TH]
[TD]Islam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Medical practice[/TH]
[TD]Muhimbili Hospital (1993-95)
HKMU (1998-2000)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Website[/TH]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Una SWALI lingine KAMANDA...?!

Mkuu njiwa bora ulivyommulika huyo mchawi anae wanga kweupe ..looh jamani kabla ya kuja hapa angejaribu hata kufanya kautafiti kidogo tuu.kuna watu wengine wanapenda kujifanya wanajua kumbe hakuna lolote.
 
Hivi hakuna mkutano mkuu au mkutano wowote ambao utarushwa live wa UKAWA ili tuone wanavyomchagua mgombea wao wa urais?
mkutano wakufanya nini wakati mgombea atachaguliwa na mtu mmoja kutoka tengeru na mcaguliwa anafahamika ni slaa?! utarusha hewani mtu mmoja?
 
Mmmmhhhhh...!Ukawa ndo habari ya town..! Either uwe nasi or uingie forest ambayo pa kuingilia kumeandikwa "WRONG TURN"
 
Kwa urais kwakweli Magufuli kura yangu atapata,Wapinzani wafokasi kwenye ubunge na udiwani ili watupiganie katiba ya Warioba, katiba ya Warioba ikipita maanake na mfumo huo tunaoulalamikia utakuwa umefumuliwa na kusukwa upya,hatutaweza kuipata katiba tuitakayo kama Wapinzani hawatapata Wabunge wengi wa kutosha,we don't have to take our eyes off ball man!we need to strategize!

Umeogea vyema sana hapa mkuu!
 
Hivi kwani ukawa wameshapendekeza jina la mgombea?naona Slaa anajipachika tu,lakini msimamisheni pro Lipumba sio padre Slaa Hana sifa na elimu yake anafaa kuongoza Vatican.
 
Kama Magufuli na wagombea wenza wake wamesena " chama kwanza mtu baadae" sitegemei jipya kutoa CCM maana ni chama kile kile hata kama kikimwekea mtu makini. Hivyo nami sitachagua mtu..so No for Magufuli. Yes, for UKAWA.
 
Mambo ni ukawa....

ccm%2Bkadi.jpg
 
Tatu bila yani diwani,mbunge na prezidaaa zinaenda ukawa tumaini jipya#tukutaneoktoba#
 
Mi sidhani kama magufuri ana bahati kama watu wanavyochukulia ila ndiyo mahitaji ya soko la viongozi kwa mazingira ya kisiasa tuliyonayo. Katika soko kuna kitu kinaitwa market forces na siyo lazima zije kwa njia uliyoizoea.
njia za kupata viongozi tulizozea huko nyuma either kwa kununua kura au upendeleo ndo zinawaaminisha watu kuwa Magufuri ana bahati. Mi nasema ni haki yake kulingana na vigezo vyake na muda husika. Wamegombea 42 jiulize kwanini yeye?

Nikirejea enzi za miaka ya 2000 wakati Saida kalori amepata umaarufu watu walisema amelala maskini na kaamuka tajiri. Tunaomfahamu huyu mama alikuwa akiimba kwa muda mrefu na kwa ustadi mkubwa ila ilikuwa huko vijijini. Miaka ya 20000 pakatokea urahisi wa wasanii kurwkodi nyimbo zao kiurahisi hapa Bonho na ndo muda huu saida akawa maarufu.

Kwahiyo napenda tuamini kila kitu kina muda wake na huenda mazingira ya siasa miaka ya mbele yakawa na mahitaji tofauti na ya sasa. Hapo napo watu watasema atakayepata kwamba ana bahati.
 
Hussein Mwinyi namkubali. ila kwa hii hotuba ya Magufuli mwanamke anaweza kua makamu Raisi
 
Umofia kwenu wana JF,
Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha
viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa
katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba
ndogo.
Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa
nane(kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously
kuanzia mwanzo mpaka mwisho?
Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si
itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa hafai
kuongoza nchi hii.

Naona kijana wa ufipa umepagawa unazunguka kila thread una paste huo utumbo....ongeza bidii we fisi
 
Back
Top Bottom