Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du huyu jamaa ni mtengenezaji RUSHWA MKUBWA bora akapimzike km hataweza kwenda ACTlowasa arudi tena uwaziri mkuu!
alifanya kazi muhimbili kama MD Muhimbili Hospital (1993-95) akahamia HKMU (1998-2000)
inamaana he was a fake Doctor miaka yote hii!
wacha chuki binafsi hizo........
Subirini kampeni zikianza utaambiwa atakachofanya
Rais Jakaya Kikwete hakutegemea John p. Magufuli kufika 3 bora na anajilaumu kukubali kumwingiza 5 bora...Lowassa na kambi yake wakaamua kumwaga mboga...
Hussein Mwinyi is good one! I hope he will be the one!
This is the 21 Century, everything is Naked. You can search the truth by yourself.
He was even taken out of the Ministry of Health immediately, coz Drs were not ready to be led by a Fake Dr.
Unapingana na wanaosambaza ukanda au unawaunga mkono!
Hapa Tz tatizo sio kufanya kazi au Cheti!! Tatizo ulikipateje?
Hata Gazeti pendwa la MwanaHali liliwahi kuripoti hii issue!
Refer: Kitabu cha Mafisadi wa Elimu Tz by Msema Kweli. Hakuna alie chukuliwa hatua. Licha ya kuwa ambia ambae amevunjiwa haki yake atinge mahakamani. Hamna hata mmoja alie tinga!!