Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Alipo tupo tutamchagua na atashinda kwa kishindo kikubwa.. Chagua magufuli kwa mabadiliko ya kweli cyo ya blaa blaa
 
Kwa sasa tulipofikia kama taifa tunahitaji rais mwanasayansi,tunahitaji rais mwanasayansi kwa sababu zifuatazo.

Kwanza Tanzania tunahitaji kukua kwa yanja ya kisayansi na ili kuendelea katika sekta za viwanda na teknolojia TUNAHITAJI MTUMFUATILIJI MWENYE TAALUMA YA KISAYANSI.

Pili dunia ya sasa ni ya sayansi na teknolojia hivyo tunahitaji rais mwenye hiyo taaluma ya kisayansi ili aweze kuhakikisha kuwa taaluma yake inakuwa katika viwango vya kimataifa na kusababisha maendeleo yanayo tokana na sayansi.

Tatu tangu nchi hii uimbwe haijawahi kuwa na rais mwanasayansi
Rais wa awmu ya kwanza alikuwa ni mwalimu
Rais wa awamu ya pili alikuwa ni mwalimu
Rais wa awamu ya tatu alikuwa ni mwahahabari
Rais wa awamu ya nne ni mchumi.

Rais wa awamu ya tano tunamtaka rais ambaye ni mwanasayansi, sasa ni zamu ya mwanasayansi
maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa Tanzania kwa viwango vya juu zaidi yataletwa na rais mwanasayansi na siyo muugizaji au mwana sanaa aliyo bobea katika taaluma fani yake.
 
Magufuli ni mwalimu wa kemia! Kuwa na PhD haibadili profession yako, kinacho define profession yako ni kile ulicho kisoma wakati wa Elimu yako ya either ya kati au degree ya kwanza na si vinginevyo! Magufuli alikuwa trained kuwa mwalimu by profession! Alichokifanya magufuli ni kujiendeleza tu kama walivyofanya watu wengine lakini haimgeuzi kuwa mhandisi au mwana sayansi!



Kwa hiyo magufuli ni mwalimu tu!
 
Kwa Taarifa iliyopo mitaani Watz hawahitaji Raisi wanahitaji Chama kingine kuongoza nchi yao,hivi hukuwasikia waTz waliposema hata likiwekwa jiwe watachagua alimuradi CCM wakae benchi na ndivyo makada wakongwe wa CCM wanavyodai ,CCM pumzi zimekwisha hana isipokuwa kuvuruga kila sehemu ,si golikipa si winga hafai kuwemo uwanjani apumzike kama si kufa kabisa. Nyie vipi mnatafuta raisi ,subirini kwanza hawa CCM wakishapewa RED CARD hapo tarehe 25 /10/2015 ,...CCM hhhoi ?
 
It is interesting that he is envisioned to experiment politics!
 
Kama Tanzania inataka mwanasayansi basi tungewachukua Prof. Muhongo au Prof. Mwandosya. Maana sayansi yenyewe inategemea umeifanyia nini hiyo sayansi kabla hujagombea.

 
Karne ya sayansi na teknolojia inahitaji rais mwanasayansi.Tingatinga anafaa

Nani kakwambia magufuli ni mwanasayansi??? Yule ni mwalimu wa chemistry kazi yake ni kufundisha na kuchanganya ma chemical kwa ajili ya practical tu.kweli ilani yetu haijakosewa
1.elimu
2.elimu
3.elimu
 
Nani kakwambia magufuli ni mwanasayansi??? Yule ni mwalimu wa chemistry kazi yake ni kufundisha na kuchanganya ma chemical kwa ajili ya practical tu.kweli ilani yetu haijakosewa
1.elimu
2.elimu
3.elimu

Unajua maana ya shahada ya uzamivu?
kweli mnahitaji elimu
 
 
Hukupata kusikia neno 'Political Science?' ama sayansi hadi uone acid?
 
Hatuitaji ccm ht km angegombea malaika mkuu.wa mungu,,,tunataka chama kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…