Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

[h=2][/h]
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​

Mtu makini anaandika fact,
Nibgekuona sio poyoyo kama ungetaja hata wanaharakati watatu kati ya hao wengi with vivid supporsting evidence!

Otherwise ufanyacho hata akina mahoka anaweza fanya!
 
Tatizo vijana wa bavicha hamjitambui, endeleeni kubuluzwa ipo siku mtajitambua
 
Magufuli unastahili pongezi sisi vijana wazalendo tupo pamoja nawe, ushindi wa kishindo umeupata.
 
[h=2][/h]
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​

pumbaaaaaa
 
[h=2][/h]
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​

Hilo hata siliwazii,,, najua ushindi kwa Magufuli ni dhahiri
 
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​
Magufuli anaenda kumnadi Chenge jimboni kwake ndo utegemee Mafisadi watatoroka?hana ubavu hata wakuja kumchunguza Rizmoko...Ufisadi ni Ccm na Ccm ni mafisadi...mpaka wakae benchi wajifunze, Misaada imezuiwa sababu ya CCM na serikali yake bado wadanganyika mnataka kuchagua ccm ?
 
Vijana mnaojitambua kweli mnapaswa kuheshimiwa sna ktka taifa hili.
 
[h=2][/h]
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​

Eehe Mtanzania ,eehe Mtanzania..wa sasa,badala ya kuangalia mambo ya msingi tunabaki na Ushabiki uliokosa kikomo.Lini tutabadilika na kujitambua sisi.??Mtanzania majanga yote haya ya Nchi hii yenye utajiri wa kila namna ,lakini mpaka leo hii Tanzania ni Moja ya Nchi Maskini,,sanaa,.tuache ushabiki ,kujipendekeza pendekeza,udaku,ngonjera,chuki,ushupalivu wa mambo tusiyajua,.Siamini mimi Mtanzania wa sasa ,anakaa chini kuhoji Ufisadi badala ya Kuhoji kwanini Hatuna Umeme katika karne hii ya Hi-tech.,kwanini Maji ya shida?,kwanini Watu Hospitalini huduma mbovu?,Wamama wajawazito uteseka ,wagonjwa kufa kwa uzembe,,kwanini tunakaa foleni masaa zaidi ya Manne,kutoka kijisehemu cha 7km tuu,??,kwanini barabara ujengwa leo miezi kadhaa ijayo hiyo barabara ubomoka??,,na kero nyingi tuu za kuhoji.Sio tunaropoka heti Fisadi,,Sasa hupo tayari kukaa na kero zote kisa mtu fulani Fisadi..tubadilike..tusome vitu tuvielewe..Uswahili umetujaa sana..sisi Watanzani.Uchaguzi ukiishi tunaanza kulalamika lalamika hovyo.oohoo serikali hii bwana,,daa maji ya shida,doo umeme wameshakata..,jamani hii foleni..malalamiko kibaoo.,Mtanzania punguza sifa za udaku chukua maamuzi sahihi..tulipowekeza kwenye biashara miaka 50+ hakuna faida,nafikiri kwa sasa Watanzania tuwekeze sehemu nyingine.,25october Lowasa Ukawa tuu.
 
Kutoka 80% hadi 61% safari hii zitashuka ngapi vile
 
[h=2][/h]
Kuna kila dalili Dr John Pombe Magufuli KUPATA USHINDI WA KISHINDO,hii ikiwa ni kutokana na namna watu wanavyokubaliana na utendaji wake lakini pia namna atakavyokabiliana na mafisadi papa wa nchi yetu.
Wasomi na wanaharakati wengi wamekuwa wakijitokeza hadharani kumpongeza Dr Magufuli kwa mikakati yake mizuri. Hata hivo wapo wanaodai pia kuna uwezekano mapapa hao wakatorokea kusikojulikana mara baada ya Dr MAGUFULI KUAPISHWA RASMI KAMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

HONGERA SANA DR MAGUFULI.​

Ufisadi na cc.m ni kama mtu na ukimwi kupambana ufisadi ndani ya cc.m lazima ife. Magufuli yuko tayari kuiua cc.m ???? Ndo kazi aliyotumwa na wenzake?
 
Sina shaka kabisa na magufuli huyu
brother ni mchapa kazi sana
naongea hvi kwasababu nmefanya
naye kaz baadhi ya maeneo.
Kwasasa nadiliki kusema ccm
inaenda mlama na naumia sana
moyon mwangu kwasababu nchi
hii inahitaji mtu mchapa kaz kama
magufuli lakn ccm inaweza
kutukosesha kiongoz shupavu
kama Magufuli.
Lawama zote nakuangushia ww
Mzee kikwete, kikwete uliamin
uswahiba kazn hukuangalia
utendaji, uliendekeza upole kazn
hukujaribu kumfokea mtu mwovu.
Lowasa kweli alikumbwa na kashfa
lakn kuna makashfa mangapi
yametokea kwenye uongoz wako
na wahusika wote wanakula
maisha mitaan?
Chama chako mzee Kikwete
kimekumbatia mafisadi nguli kama
Andrew chenge, Rostam azizi,
karamagi yote haya ni mafisadi
papa yaliyo ndan ya ccm na chama
kimeshindwa kuyachukulia hatua
yoyote sasa unataka kutuambia
lowasa ni mchafu kuliko haya
majitu yaliyo ndan ya ccm?
Mm nakubali kabisa ccm imezidiwa
nguvu najiona taratiibu naanza
kusombwa na mafuriko.
Mm naamin lowasa sio msafi lakn
hata ccm nao sio wasafi sasa kama
wote ni wachafu bora tukubali
matokeo tu.
Jaman mafuriko yamenizidi nguvu
naanza kusombwa.
Lakn yote kwa yote tumwachie
mwenyez Mungu atuwekee mtu
anayefaa madarakan. Sisi hatujui
lolote bali tunaongozwa na
mapenzi yetu lakn Mungu naamini
ww ndio unawajua hawa viongoz
wawili kwamba ni yupi anaongea
kwa kutoka ndan ya moyo na ni
yupi anaongea kinafki. Mungu Watz
twahitaji uwepo wako.
 
Tangu Tanzania ipate Uhuru wanaharakati wametoa msaada gani wa katika kupambana na umasikini wa watanzania kwa taarifa tu mwaka huu hatushawishiwi na kumpigia kula mgombea yoyote tunapiga kula kutoka moyoni maigizo yenu ya kununua watu tushayajua,
 
Tangu Tanzania ipate Uhuru wanaharakati wametoa msaada gani wa katika kupambana na umasikini wa watanzania kwa taarifa tu mwaka huu hatushawishiwi na kumpigia kula mgombea yoyote tunapiga kula kutoka moyoni maigizo yenu ya kununua watu tushayajua,

Wapeni pole ndugu Zangu Magamba kwa kuukimbiza upepo.
 
Kwa style ya wabunge wa ccm wazee wa ndiyo ndio ndiyo kila mswaada naunga mkono hoja ndiyo ndio bila hata kufikili ata aje maraika ccm haiwezi kuondoa matatizo ya msingi kwa watanzania
 
Hapa ni Lowasa na ukawa tu.. Eti fisadi yeye ndyo ameleta kero zote hizi katka nchi yetu?..Hivi tukianza kuhoji viongoz wote wa ccm wamepata wapi utajiri kuna mtu atapona! Watanzania tumekuwa chini ya ccm miaka 54 kila uchaguz ahadi zilezile na hazitekelezwi, tuweke timu mpya ccm lazima wakae benchi
 
Back
Top Bottom