kichunachangu
Member
- Oct 17, 2015
- 97
- 20
na Magufuli akishakabidhiwa dola ataanza na mafisadi na wa kwanza ni LOWASSA akifuatiwa na wengine wote wapo chadema nikisema ukawa nitapoteza ladha coz chadema wamewanunua NLD, CUF na NCCR ndo mana hawana sauti.....