Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu MKV sijasema mtihani mgumu nimesema NECTA wametunga mtihani ambao wana sio !.
Wanabodi,
Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na kuyapeleka makaratasi halisi ya mtihani kuuanika uthibitisho wa jinsi hao kina fulani walivyo jibu utumbo yakiwemo matusi ili kupata public sympathy kujustify tatizo sio NECTA, sio mitihani wall sio usahihishaji bail ni wanafunzi ndio wajinga na vibonde, hakipaswi kuachwa bila kupingwa!.
Wengi waliangalia hili kwa jicho la juu juu juu tuu bila kujiuliza wajinga halisi ni kina nani na long impact ya ukomoaji huu wa NECTA utalifikisha wapi taifa letu in a long run baada ya matokeo hayo kujenga matabaka ya wenye nacho na wasionacho!.
Kwa sio jua Wengi wa waliofaulu ni watoto wa wenye nacho ambao wana uwezo wa kuwalipia watoto wao shule bora, na wengi wa waliofeli ni watoto wa wa wasionacho hivyo Mama Ndalichako kupitia NECTA anawanyanganya hata hicho kidogo walichonacho, unategemea mini after a long time ?!.
I think it's time up for Mama, Dr. Joyce Ndalichako to go!, not withstanding madhaifu mengine yote wenye mfumo wetu wa elimu.
Pasco.
Wanabodi,
Kwa sio jua Wengi wa waliofaulu ni watoto wa wenye nacho ambao wana uwezo wa kuwalipia watoto wao shule bora, na wengi wa waliofeli ni watoto wa wa wasionacho hivyo Mama Ndalichako kupitia NECTA anawanyanganya hata hicho kidogo walichonacho, unategemea mini after a long time ?!.
I think it's time up for Mama, Dr. Joyce Ndalichako to go!, not withstanding madhaifu mengine yote wenye mfumo wetu wa elimu.
Pasco.
Pia waangalie cha kufanya. Kwangu mimi kuna mambo mawili tu:
1. Mitihani isahihishwe upya
2. Mitihani itungwe upya na wanafunzi wafanye tena. Hili si mara ya kwanza maana mitihani ya Mwaka 1998 (kama sikosei) ilirudiwa mwaka 1999 baada ya kuona kuwa kuna udanganyifu mkubwa.
Samahani wadau nimeandika sana.
Kuna kutunga mtihani mgumu na kuna kutunga mtihani ambao sio ili kuwakomoa kina fulani!.Mbona sentence yako haijaeleweka Pasco.
Mkuu Pasco, unapaswa kumpa Hongera Mama Ndalichako kwa kudhibiti wizi wa mitihani na kutunga mithani kwa kufuata syllabus zinazopaswa kufundishwa katika shule za Sekondari Tanzania. Kama wanafunzi hawakusoma sio kosa la NECTA, bali ni la yule anayesimamia hizo shule. Kama NECTA ingekuwa ndio Wizara Mama, huenda wangetunga mitihani rahisi unayoisema wewe ili kufurahisha Umma, jambo ambalo lingekuwa baya zaidi maana wanafunzi hao wangefel zaidi kidato cha sita au tungepata viongozi mbumbu baadaye. Watoto wa wenye nacho unaosema wamefaulu ni kwa sababu wamesoma kwenye shule ambazo zinafundisha vizuri na kuwajali walimu wake. Kazi ya kusimamia ufundishaji mzuri na kuwajali wali ili wawe na moyo wa kujituma na kufundisha vizuri sio kazi ya Joyce, ni kazi ya Wizara Mama. Joyce anatumika kama kupimo ili kuthibitisha ubora kazi inayofanywa na Wizara ya Elimu. HONGERA DR. NDALICHAKO.
Naungana nawewe kamanda ,inashangaza kuona kwamba mtihani huu wa mwisho ndio unapewa uzito mkubwa kuliko maendeleo ya mtoto akiwa darasani na mwalimuWanabodi,
Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na kuyapeleka makaratasi halisi ya mtihani kuuanika uthibitisho wa jinsi hao kina fulani walivyo jibu utumbo yakiwemo matusi ili kupata public sympathy kujustify tatizo sio NECTA, sio mitihani wall sio usahihishaji bail ni wanafunzi ndio wajinga na vibonde, hakipaswi kuachwa bila kupingwa!.
Wengi waliangalia hili kwa jicho la juu juu juu tuu bila kujiuliza wajinga halisi ni kina nani na long impact ya ukomoaji huu wa NECTA utalifikisha wapi taifa letu in a long run baada ya matokeo hayo kujenga matabaka ya wenye nacho na wasionacho!.
Kwa sio jua Wengi wa waliofaulu ni watoto wa wenye nacho ambao wana uwezo wa kuwalipia watoto wao shule bora, na wengi wa waliofeli ni watoto wa wa wasionacho hivyo Mama Ndalichako kupitia NECTA anawanyanganya hata hicho kidogo walichonacho, unategemea mini after a long time ?!.
I think it's time up for Mama, Dr. Joyce Ndalichako to go!, not withstanding madhaifu mengine yote wenye mfumo wetu wa elimu.
Pasco.
3. Utendaji mbovu wa Baraza la Mitihani
3.1. Kutunga mitihani ambayo haiendani na mihutasari waliyopewa walimu kufundisha na wanafunzi kusoma (nakumbuka wakati nasoma Sekondari, nilisoma Book-Keeping na kulikuwa na kitabu kinaitwa Book Keeing for Tanzania Secondary Schools kama sikosei ambacho kilikuwa kinatolewa na Wizara ya Elimu, lakini hata siku moja hutapata swali kutoka ndani ya hicho kitabu. Maswali karibu yote yalikuwa yanatoka kwenye Frank Wood-Business Accounting ambacho wakati huo kukipata ilikuwa mbinde)
3.2. Kutokuwa makini katika usahihishaji
mkuu hakuna udanganyifu katika mitihani hii ,jiulize kwanini wengine wamefaulu??? Kuna shule ya serikali ya kata mtaani kwangu na imefaulisha na hamna walimu jiulize?juhudi binafsi zinahitajika as a student.pasco umeongea point ambayo watu wengi hawataki kuiona.
Kwangu mimi suala si dr ndalichako tu, ila hata waziri kawambwa na viongozi waandamizi have to go. Hatukatai kuwa kuna watoto ambao hawasomi, hilo tunalijua maaana wote tumesoma sekondari. Sasa sababu za kufeli haiwezi kuwa moja tu ya uzembe wa wanafunzi.
Sababu zinaweza kuwa zifuatazo:
1. Uzembe wa wanafunzi
2. Mfumo mbovu wa elimu
2.1. Kutokuwa na mitaala ya kueleweka
2.2. Kuwa na shule bila walimu
2.3. Kutokufanya ukaguzi wa kutosha
2.4. Kutokuwa na motisha kwa walimu
2.5. Kutoboresha shule za kata n.k.
3. Utendaji mbovu wa baraza la mitihani
3.1. Kutunga mitihani ambayo haiendani na mihutasari waliyopewa walimu kufundisha na wanafunzi kusoma (nakumbuka wakati nasoma sekondari, nilisoma book-keeping na kulikuwa na kitabu kinaitwa book keeing for tanzania secondary schools kama sikosei ambacho kilikuwa kinatolewa na wizara ya elimu, lakini hata siku moja hutapata swali kutoka ndani ya hicho kitabu. Maswali karibu yote yalikuwa yanatoka kwenye frank wood-business accounting ambacho wakati huo kukipata ilikuwa mbinde)
3.2. Kutokuwa makini katika usahihishaji
4. Kutowajibika kwa nchi (uzembe wa viongozi) (viongozi hawajui kuwa wanatakiwa kulijenga taifa hili kwa kupitia elimu). Nakumbuka kuna bwana mdogo ambaye alishindwa kuendelea na shule akiwa form three kutokana na uwezo mdogo. Baada ya miaka kadhaa ya kujishughulisha na biashara akapata fedha akataka kurudi shule ili aendelee. Ile shule aliyokwenda ili ajiendeleze kama private candidate akaambiwa alete barua toka ile shule aliyokuwa anasoma. Ile shule aliyokuwa anasoma wakampa barua, kwenda kwenye shule mpya wakamwambia aje na matokeo ya form two akawajibu kuwa mwaka wao mitihani ya form two ilikuwa imefutwa, ili ilikuja kurudishwa baadaye. Wakamwambia nenda baraza la mitihani ukachukue barua kuthibitisha hilo. Kwenda baraza la mitihani wakasema huweza kwenda form three mpaka ufanye mitihani ya form two upya. Huyo bwana mdogo akaamua kuachana na masuala ya shule aendelee na maisha yake mengine. Nimetoa huu mfano kuonyesha jinsi viongozi wasivyoona jinsi wanavyojenga taifa la wajinga kwa kutowajibika kwao. Sasa hao watoto 240,000 wanakwenda wapi? Kama siyo kuanza kufuga majambazi na machangu.
Pasco watu wengi, hawataona ulichosema, lakini hawa viongozi lazima waje na maelezo ya kutosha kuhusu sababu hizi zote. Vinginevyo they have to go.
Pia waangalie cha kufanya. Kwangu mimi kuna mambo mawili tu:
1. Mitihani isahihishwe upya
2. Mitihani itungwe upya na wanafunzi wafanye tena. Hili si mara ya kwanza maana mitihani ya mwaka 1998 (kama sikosei) ilirudiwa mwaka 1999 baada ya kuona kuwa kuna udanganyifu mkubwa.
Samahani wadau nimeandika sana.
Hakuna sababu ya kusahihisha mitihani upya, labda kama watoto wote wangekuwa wamefeli,lakini hapa wengine wamefalu. Wala hakuna sababu ya kufuta matokeo, kwa sababu mitihani haikuibiwa. Wizara ya Elimu imepeleka wanafunzi ambao hawakuandaliwa vizuri kwa maana ya kufundishwa vizuri. Je, mitihani ikitungwa upya wanafunzi watakuwa hao hao au wengine ? Ina maana lengo ni kwamba wafaulu na sio aina ya watu wanaofaulu; ni elimu bora au bora elimu ?
Pasco unaeneza udini hapa watch ua mouth ,katika mambo muhimu toa udini.unamaanisha hamna hao kina nanii waliofaulu???? Na kama kweli nikuwakomoa kwanini wakakomeleka kama walikuwa fit??? So baraza la mitihani limeprove kuwa there is something wrong katika hao watu fulani !!prove it pasco la sivyo i wll sue u acha ujinga wakutuaminisha hayakuna kutunga mtihani mgumu na kuna kutunga mtihani ambao sio ili kuwakomoa kina fulani!.