Halafu anashindwaje kuelewa kuwa passmarks sio kigezo cha mwisho cha kuchagua, kama wapo waliofanya vizuri zaidi ya huyo mtoto wake je?Pasco,
Nikijumlisha hapo kwenye bluu napata jumla ya alama 148......! Kwa maana hiyo binti yako hakufikisha alama 150!
NECTA wanapotunga mitihani, lazima wazingatie mambo mengi. waelewe kuwa kuna shule hazina walimu wakutosha, maabara, nk...... lazima kuwe na 25% ya maswali mepesi sana, 50% ya maswali ya kati na 25% ya maswali magumu. dk. joyce lazima ajiuzulu kwa sababu ofisi yake ilipotunga mitihani haikuzingatia haya yote.
La hasha. Sidhani kama kuna swali lilitoka nje ya Muhtasari na kama kuna mwenye ushahidi aweke humu. Pili unanishangaza unapotaka eti mitihani itungwe toka kwenye kitabgu/vitabu fulani...Nadhani cha msingi ni kuzingatia mada zilizopo kwenye muhtasari na maarifa anayotakiwa kuwa nayo mtahiniwa wa level hiyo. issue sio kitabu!!
NECTA wanapotunga mitihani, lazima wazingatie mambo mengi. waelewe kuwa kuna shule hazina walimu wakutosha, maabara, nk...... lazima kuwe na 25% ya maswali mepesi sana, 50% ya maswali ya kati na 25% ya maswali magumu.
Afadhali hata ya kibwebwe mkuu je na wale wanaolazwa nje kishirikina? au kufanyiwa vitu vibaya?walimu wanashida sana hasa huko vijijiniWewe pasco
msitafute kumsingizia ndalichako
unadhani 'malalamiko' ya walimu yanatoa matokeo memaa?
Unasahau kila siku wakidai haki zao wanakejeliwa kwa kuitwa 'mbayuayu\?
Unakumbukumbu dhaifu sana kama umeshasahau.....
Usisahau walimu mbali ya kulilia maslahi yao...wanalilia vifaa vya kufundishia havipo...
Usisahau sasa hivi watoto hawana adabu kwa walimu; nadhani kama na wewe ni 'mzazi' utafanana na walewale ambao mtoto akiadhibiwa kwa utovu wa nidhamu...mwalimu anafungiwa kibwebwe na kupewa mkong'to....habari iliyotokea kigoma wiki hii hii (je nidhamu mbovu za watoto ambazo wanafundishwa na wazazi wao' unadhani zinamwezesha mtu kupata div 1,2,3...ni failures tu....
Mkuu wangu hii ndio tunaita kuingiza siasa kataika taaluma. Si wajibu wa NECTA kujua kama shule hazina walimu wa kutosha, maabara nk......ni jukumu la idara zingine za serikali pasi na kukumbukla kuwa mitihani si kwa shule za serikali tu....mantiki ya kuppozesha mitihani kwa asilimia ulizoweka sijaielewa.....nijuavyo mitihani inatakiwa kulingana na mitaala iliyopo na likifanyika hili hakuna mtihani mgumu. Nilipofanya mimi mtihani tulikuwa 42 darasa letu na 14 tukapata divisheni wani katika shule ya serikali......leo naona aibu sana na haya matokeo!
Tangu lini mtu kusema ukweli ukawa uchochezi? Hakuna sehemu yoyote duniani wanaweza kukubali matokeo ya aina hii zaidi ya Tanzania. Kuna haja ya kuisuka upya wizara ya elimu kama siyo serikali nzima.Pasco UCHOCHEZI JAMII (Public Incitement) una sura nyingi sana.........ikiwemo hii
mkuu hakuna udanganyifu katika mitihani hii ,jiulize kwanini wengine wamefaulu??? Kuna shule ya serikali ya kata mtaani kwangu na imefaulisha na hamna walimu jiulize?juhudi binafsi zinahitajika as a student.
Kumfukuza Dr. Ndalichako na
kumuweka mtu mnaemtaka nyie haitatatua tatizo la wanafunzi kufeli!!!
Source ya tatizo hili liko kwenye failure of our education system ya
kuwadharau walimu, na sasa ndio matokeo ya ubabe wa serikali kwa
kutowasikiliza walimu yanaonekana. Ukipanda bangi usitegemee kuvuna
viazi!!