mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Waziri wa maliasili na utalii amesema kuwa Gari aina ya VX V8 iliyokuwa inaendeshwa kwa kasi ili mgonga swala na kumsababishia kifo katika eneo la mdori magugu huko manyara.
Amemtaka dereva wa gari hilo kuripoti Polisi au hifadhini kwa hatua za kisheria.
Maoni yangu
Huyu jamaa lazima ashughulikiwe na wanasimba wa nzega
Amemtaka dereva wa gari hilo kuripoti Polisi au hifadhini kwa hatua za kisheria.
Maoni yangu
Huyu jamaa lazima ashughulikiwe na wanasimba wa nzega