Dr. Leakey Abdallah yupo TV 1

intro

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
306
Reaction score
327
Mchambuzi mkongwe wa mpira.Kwa sasa yupo TV1.

Mzee anajua sana historia na matukio makubwa kwenye ulimwengu wa mpira.

Mtaani kuna tetesi kuwa yeye ni mmoja wa waanzilishi wa betting.he kuna ukweli?

Tujuzane Historia,kama aliwahi kucheza soka tujuzane tafadhali.

Huyu ni hazina kwa taifa.Tusisubiri mpaka aage dunia ndo tupate kumfahamu.
 
Ana mke wa kipemba yule mama ni mtata sijawahi kuona
 
Babu wa historia. Hakuna zaidi. Kwangu Mchambuzi makini wa soka hapa nchini kwa sasa ni Edo Kumwembe.
Huyu yupo sana kihistoria
 
Ngoja waje wale wajuzi wa mambo.
 
Dr Leaky ndo alioanzisha hii kazi ya 'uchambuzi wa soka Tanzania'

Yeye ndie pioneer na mtu ambae hata wamama wasiopenda mpira wanafurahia kumtazama
akiongea kuhusu mpira.....

Watu walionza kutazama TV juzi ndo wanauliza 'eti kwa nini anaitwa Dr'

Kumbe wakati jina linaanza kule DTV enzi hizo hamkutazama?

Hakujiita yeye Mwenyewe....aliitwa na watu ..mashabiki wa mpira...
 
Kumbe ni udaktari wa uchambuzi.
 
dtv kipindi hicho tunaangalia hadi uefa
anataja hadi sub hii ikiingia wanashinda kipindi hicho akialikwa edo watu wanalalamika
liverpool vs milan mchambuzi yeye aisee kitambo

edo namkubali ila Dr leaky kupotea kwake kwenye game ndio kumempa nafasi edo
 


Hahaa kumbe mkuu unakumbuka?
Michuzi nae akawa akitumia mda mwingi tu watu wanapiga simu kumtuliza
na kumwambia amuache Dr aongee...
Edo pia alikuwa anaboa hadi basi...
dah kweli miaka inabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…