intro
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 306
- 327
Mchambuzi mkongwe wa mpira.Kwa sasa yupo TV1.
Mzee anajua sana historia na matukio makubwa kwenye ulimwengu wa mpira.
Mtaani kuna tetesi kuwa yeye ni mmoja wa waanzilishi wa betting.he kuna ukweli?
Tujuzane Historia,kama aliwahi kucheza soka tujuzane tafadhali.
Huyu ni hazina kwa taifa.Tusisubiri mpaka aage dunia ndo tupate kumfahamu.
Mzee anajua sana historia na matukio makubwa kwenye ulimwengu wa mpira.
Mtaani kuna tetesi kuwa yeye ni mmoja wa waanzilishi wa betting.he kuna ukweli?
Tujuzane Historia,kama aliwahi kucheza soka tujuzane tafadhali.
Huyu ni hazina kwa taifa.Tusisubiri mpaka aage dunia ndo tupate kumfahamu.