Dr. Luis Shika: Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900 nilisema mia Tisa(900)

Dr. Luis Shika: Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900 nilisema mia Tisa(900)

View attachment 628117
Mnunuzi wa nyumba za Lugumi zilizopigwa mnada na Kampuni ya Yono Auction Mart kufidia deni la TRA, Dr.Luis Shika amekanusha vikali madai ya polisi kwamba alikusudia kufanya utapeli kwenye mnada wa uuzwaji wa nyumba hizo.

Dr.Shika ameshangaa polisi kumlisha maneno kwamba alitamka milioni 700, 800 na 900, wakati ukweli alitamka 900 lakini sio milioni. "Ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900. Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900" Amesema Dr.Luis Shika aliyejipatia umaarufu siku za karibuni kutokana na sakati hilo.
Huyoo tayari ni next level
IMG-20171110-WA0085.jpg
 
Asifanye watu wajinga, ina maana yeye ndie alikuwa wa kwanza kutaja hizo bei. Mnadani bei huanza kutangazwa k uanzia chini na inapanda, sasa kama imefikia milioni 600 na yeye akatamka 700, sio kwamba wanarudi chini kuanza tena kwa tshs 700 ni mwendelezo wa ile milioni 600, hivyo ni milioni 700. Kisheria anaweza kuwa na mashiko, ila si katika mazoea ya kuendesha minada.
Kama uliweza kusikiliza mwnzo wa mnada yule mama alikaribisha offa jamaa akasema cjui mil300 cjui alisema 300 sina kumbukumbu so bei ya kwnz siyo kwmb walisema yono
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..... Huyo mzee mnamuona boya, wakati amekuja kuharibu mnada kimkakati. Na alikuwa amejiwekea defensive mechanism jinsi ya kuwatoka... "eti nilisema 700,800 na 900 sikutaja milion"... Dunia hii, Dr kanichekesha sana leo.
 
Huyo comedian ni noma.... Watu tuko serious yee Ana tu ektia... Kweliii [emoji3][emoji3][emoji3]
Anawafundisha kuwa wakati mwingine nyie ndio muwe serios mjue kutofautisha 900 na milioni 900.... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom