Elections 2015 Dr. Magufuli ndani ya Nachingwea,Mtama na Ruangwa - Oktoba 12, 2015

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Baada ya Mapumziko ya siku mbili, mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli ameanza rasmi ziara kwenye mkoa wa Lindi na asubuhi hii amefanya mkutano kwenye jimbo la Nachingwea.

Leo mchana mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi , Dr. Magufuli amefanya mikutano mikubwa miwili mpaka sasa baada ya ule wa asubuhi jimbo la Nachingwea.

Mikutano yote imekuwa na idadi ya nyomi ya kutosha hivyo ikawa rahisi kuinadi ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi.

Kuondoa mtaala unaofanana nchi nzima. Mfano Kusini kuna gesi; mtaala VETA Kusini ukidhi utaalam wa gesi.

Mimi si fisadi, wala si tapeli, na Watanzania wote mnanifahamu. Ushindi wangu Oktoba 25 ni dhahiri. Wengine wanasindikiza.


Nachingwea

Ruangwa


Mtama



 
Karudi lini kutoka Nairobi.


swissme
 
Sawa kwa ajili hatutaki kumchelewesha lowassa ikulu
 
Watakoma kwa mambo haya ya watanzania mmmh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…