Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli eenh? Kama ni Rais kwa nini bado anahangaika kuomba kura mpaka na Push ups anapiga? Watu tuache kuu-miss umeme tum-miss Magufuli, wewe wa wapi!!
Kweli eenh? Mlizoea ufisadi kwenye kila nyanja, mnatangaza nafasi za kazi kumbe tayari watu wameshaajiriwa. Mwaka huu hizo formalities zitaishia kwenye vikao vyenu vya Kamati Kuu ambapo Mwenyekiti wenu alikuja na majina ya wagombea wake mfukoni na nyie mkamkubalia bila ya kuuliza. Ukondoo huo hamjamuambukiza mtu mwingine yeyote zaidi ya nyie wenyewe!!Formalities:violin:
hiv hio hela ccm waliyotumia kununulia hizo kofia na t shirt si wangewalipa walimu stahiki zao!!!!!
aibu kubwa hiii
Jana kauliziwa sana humu kaka,hapo anaomba kura ili kudhibitisha ushindi na kuwaonyesha watanzania kweli yupo fit kiakili na kimwili pia kuwatumikia watanzania,Kweli eenh? Kama ni Rais kwa nini bado anahangaika kuomba kura mpaka na Push ups anapiga? Watu tuache kuu-miss umeme tum-miss Magufuli, wewe wa wapi!!
Kweli eenh? Mlizoea ufisadi kwenye kila nyanja, mnatangaza nafasi za kazi kumbe tayari watu wameshaajiriwa. Mwaka huu hizo formalities zitaishia kwenye vikao vyenu vya Kamati Kuu ambapo Mwenyekiti wenu alikuja na majina ya wagombea wake mfukoni na nyie mkamkubalia bila ya kuuliza. Ukondoo huo hamjamuambukiza mtu mwingine yeyote zaidi ya nyie wenyewe!!
Safi sana! Waliokuwa wanamuulizia walikuwa wanamuulizia wakiwa na bashasha au kauli zao zilijaa kejeli?Jana kauliziwa sana humu kaka,hapo anaomba kura ili kudhibitisha ushindi na kuwaonyesha watanzania kweli yupo fit kiakili na kimwili pia kuwatumikia watanzania,
And happy New Year!!Merry x'mas!