Basso seleman
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 432
- 118
akimaliza awahi kurudi kilinik ya moyo nairob
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akimaliza awahi kurudi kilinik ya moyo nairob
Tinga Tinga liko uwanjani ...wanaosema na waseme sisi hatujali....nalimiss sana hili singeli!!!
Baada ya Mapumziko ya siku mbili, mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli ameanza rasmi ziara kwenye mkoa wa Lindi na asubuhi hii amefanya mkutano kwenye jimbo la Nachingwea.
View attachment 297753View attachment 297754View attachment 297755View attachment 297756View attachment 297757
Mwambie na mgonjwa wa kutetemeka ambaye hata memory ni shida ndiyo maana anajinyea ovyo ovyo, na siku hizi anatumia pampas, mwambie pia ikulu hatupeleki watu wanaojinyeaakimaliza awahi kurudi kilinik ya moyo nairob
Si wamesema yupo Nairobi kalazwa au?
Walikuwa na bashasha,ingawa wachache walifikia hadi kuzusha kuwa kalazwa hospitali NairobiSafi sana! Waliokuwa wanamuulizia walikuwa wanamuulizia wakiwa na bashasha au kauli zao zilijaa kejeli?
Msisahau Ukawa Kumbadilisha Pampers Mgombea Wenu.
Mwambie na mgonjwa wa kutetemeka ambaye hata memory ni shida ndiyo maana anajinyea ovyo ovyo, na siku hizi anatumia pampas, mwambie pia ikulu hatupeleki watu wanaojinyea
tuna imani na lowassa
Watanyooka Tu