Akichanganya cha arusha na cha musoma-tarime,anabaki kuzungusha mikono akitaka mabadiliko Mara hamsini,atayapata tuAnaumwa ugonjwa wa Musomaaaaaaaa
Hapana Magufuli; M-CCM hawezi kuumwa bhana wacha utani!! tunaoumwa ni sisi huku UKAWA?!
Hata hivyo sijasema hii ni ya hivi karibuni, nimeweka link tu ya gazeti ambalo lina tarehe inayoonekana bayana.Hiyo habari ni ya zamani. APRIL 2012
Naona stendi ya mabasi ya magufuli kwa mbaaaali...Lowasa mwanza hureeerrrreeee
halaf mgonjwa anatoboa tu. Tutajua tu nani mgonjwa na nani mzima