Dr Manyau Nyau kumrudisha Kanumba...

Dr Manyau Nyau kumrudisha Kanumba...

ah dubu ulikuwa huna kazi ya kufanya eti,maskn pole sna dubu,ukalala hoi cjui uliporud hme umechoka wakakuuliza umechoka umefanya kaz gan?ulijb nn
 
ha ha ha Seven day zimepita tunautafta Mwaka hakuna dalili hata ya sikio kupatikana
 
Nasikia ameshawahiwa na kile kibibi kizee kilichokamatwa kwenye kaburi lake.
Wenzake walishawahi wakaondoka naye!
Yuko Gambushi
 
manyaunyau anatisha. pale mwananyamala alifukuza mchawi mchana kutoka pale kwa bi zakalia ndani kwa ndani hadi kwa mtogole watu kibao wanamfuata akanyosha hadi manzese huku ameshikilia paka mdomoni na vijana wake wakipiga ngoma, akanyonya hadi mabibo ndani kwa ndani hiyo mi nikaunga tela, tukaibukia external tukapita makuburi tukatelemka tukapanda tukaibukia kimanga, akadaka paka mwingine kanyonya damu, tukaenda hadi tabata visiwani hadi tabata bima hiyo ishafika saa 12 jioni....

Tehe tehe umenichesha hadi machozi yamenitoka.
 
dubu! vp?maana belongings za Marehemu zinaanza kupigwa sale asije akakuta hakuna chake tena.
 
watu wana macho lakini hawaoni,
wana masikio lakini hawasikii na
wana akili lakini hawazitumii
kwahyo ni wajingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
manyaunyau anatisha. pale mwananyamala alifukuza mchawi mchana kutoka pale kwa bi zakalia ndani kwa ndani hadi kwa mtogole watu kibao wanamfuata akanyosha hadi manzese huku ameshikilia paka mdomoni na vijana wake wakipiga ngoma, akanyonya hadi mabibo ndani kwa ndani hiyo mi nikaunga tela, tukaibukia external tukapita makuburi tukatelemka tukapanda tukaibukia kimanga, akadaka paka mwingine kanyonya damu, tukaenda hadi tabata visiwani hadi tabata bima hiyo ishafika saa 12 jioni....

hiyo siku nilikimbia salon na dawa kichwani.
Hadi nakuja kukumbuka nimeshaungua kichwa duuhhh.
 
kwa nini kila kitu cha dogo ni 7,
baba naye alisema ataongea baada ya siku 7,
kufa saa 7,

mmmmmh, ngoja tuone, kwani ni nani asiyependa
hata mfu wake afufuke. na kama ni mbwembwe za manyaunyau inabidi ale kichapo cha mbwa mwizi.

Mwaka wa tatu huu sasa, labda msubiri miaka 7.
 
Back
Top Bottom