Dr Manyau Nyau kumrudisha Kanumba...

ah dubu ulikuwa huna kazi ya kufanya eti,maskn pole sna dubu,ukalala hoi cjui uliporud hme umechoka wakakuuliza umechoka umefanya kaz gan?ulijb nn
 
ha ha ha Seven day zimepita tunautafta Mwaka hakuna dalili hata ya sikio kupatikana
 
Nasikia ameshawahiwa na kile kibibi kizee kilichokamatwa kwenye kaburi lake.
Wenzake walishawahi wakaondoka naye!
Yuko Gambushi
 

Tehe tehe umenichesha hadi machozi yamenitoka.
 
dubu! vp?maana belongings za Marehemu zinaanza kupigwa sale asije akakuta hakuna chake tena.
 
watu wana macho lakini hawaoni,
wana masikio lakini hawasikii na
wana akili lakini hawazitumii
kwahyo ni wajingaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 

hiyo siku nilikimbia salon na dawa kichwani.
Hadi nakuja kukumbuka nimeshaungua kichwa duuhhh.
 
kwa nini kila kitu cha dogo ni 7,
baba naye alisema ataongea baada ya siku 7,
kufa saa 7,

mmmmmh, ngoja tuone, kwani ni nani asiyependa
hata mfu wake afufuke. na kama ni mbwembwe za manyaunyau inabidi ale kichapo cha mbwa mwizi.

Mwaka wa tatu huu sasa, labda msubiri miaka 7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…