Tetesi: Dr. Masaburi alishiriki kuifilisi Twiga Bancorp

Tetesi: Dr. Masaburi alishiriki kuifilisi Twiga Bancorp

Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.


Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!
Mkopo huwa una dhamana na mdhmini,ya nn wewe kuhangika na kuwataja waka waliokopwa wanawajua wadeni wao?ya nini kutafuta uhasama kwa kutaja watu bila kujua kama wamelipa au bado?Twiga iwataje wao wenywe maana naona umeanza kushindwa kuwataja umetaja al marhum ambaye hatajitetea,taja wazima la funga domo lako,maana we sio msemaji wa Twia.Amua moja kati ya hayo,kuwataja au kukaa kimya usituletee uoga wako!
 
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.


Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!
Mkopo huwa una dhamana na mdhmini,ya nn wewe kuhangika na kuwataja waka waliokopwa wanawajua wadeni wao?ya nini kutafuta uhasama kwa kutaja watu bila kujua kama wamelipa au bado?Twiga iwataje wao wenywe maana naona umeanza kushindwa kuwataja umetaja al marhum ambaye hatajitetea,taja wazima la funga domo lako,maana we sio msemaji wa Twia.Amua moja kati ya hayo,kuwataja au kukaa kimya usituletee uoga wako!
 
Miaka michache iliyopita rafiki yangu alinipa stori moja ambavyo alipata kazi kutoka kwenye kampuni moja ya kudai madeni. Kampuni hiyo ipo Selander jijini DSM.

Mteja wa kwanza jamaa yangu kupewa alikuwa marehemu Dr. Masaburi na wenzake walikopa pesa nyingi sana kwenye Benki ya Twiga na mkopo huo ulikuwa mgumu kulipika baada ya Mh kukopa na kuingiza kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza dawa za ARV (mkuu huyu na wenzake walilenga kutengeneza kiwanda cha kutenegezea dawa feki, za ARV nadhani ili sio geni wakuu wa jf)

Rafiki yangu alipata shida sana maana mkuu huyu hakuwa mwepesi wa kuongea. Jamaa yangu alivyomfata jamaa, alimuunganisha na mkewe. Mke wa Dr. alikuwa mpiga sound mkubwa yani ukienda kudai huwezi choka aisee anakupiga sound mpaka unasahau kudai deni.

Mwishowe jamaa yangu ilipigwa simu kutoka juu ikitaka wabadilishiwe mdai wa madeni maana jamaa yangu baada ya kupigwa saound alikuwa king'ang'anizi sana hakukubali kabisaaa. Mwishowe jamaa yangu alipigwa chini na kampuni ile na sasa jana tulikutana na akawa ananiambia hajui kama deni lile lililipwa.


Kwanini wanaJF sio wazalendo? Tunajua kuwa hii benki ilikopesha wanasiasa na tunaishi nao mitaaani. Sasa imefungwa, kwanini hatutajani kuisadia serikali?

Mkuu wa kaya naomba ulinzi wako, ntakueletea orodha ya wadaiwa wa benki hii kupitia hapa.

Mimi spendi kuja kuja hapo kwa Greyson!
Mkopo huwa una dhamana na mdhmini,ya nn wewe kuhangika na kuwataja waka waliokopwa wanawajua wadeni wao?ya nini kutafuta uhasama kwa kutaja watu bila kujua kama wamelipa au bado?Twiga iwataje wao wenywe maana naona umeanza kushindwa kuwataja umetaja al marhum ambaye hatajitetea,taja wazima la funga domo lako,maana we sio msemaji wa Twia.Amua moja kati ya hayo,kuwataja au kukaa kimya usituletee uoga wako!
 
Waliokopa ni wana siasa kutoka Ccm,sasa sijui kama mwenyekiti wao atawachukulia hatua kwasababu mpaka sasa anayo majina.
 
Ni watu wachache hasa wanaoishi kama wewe mkuu...Mungu aonyeshe utukufu wake kwa kukulinda na hawa wauaji kwenye hili....ila amin_amin nakuambia hata wakikuua utapumzika kwa amani kabisa.
 
Amin..amin nawaambien hili tatizo la wanasiasa hasa wa chama hodhi kukopa mahela makubwa bila kulipa ni kubwa kuliko tunavyofikiri....na ni hatari hasa sawa sawa na ule mtandao hatari wa madawa ya kulevya.
Tumuombee huyu jamaa hasa kuliko hata mkuu wa kaya aliye ba kila ulinzi wa kumlinda.....time will tell
 
Hivi hiyo Benki mmiliki wake ni serikali, naomba kusahihishwa wadeni wao inawajua, maana serikali INA mkono mrefu. Waliokopa wafuatiliwe
 
Huku sasa ndio kufukua makaburi.
Didas Masaburi alishafariki dunia, wakati akiwa hai hayo mambo hamkuja kuyasema hapa JF, leo mnakurupuka kumsingizia mfu kwa kuwa hawezi kuja hapa kujitetea, mimi nahisi huu ni ujanja ujanja wa kutaka kufunika ukweli ili tusiwajue wahusika wenyewe.

Kwanza, mhusika wa ARV feki hakuwa Masaburi, bali alikuwa Ramadhani Madabida ambaye ni Kiongozi wa juu wa CCM akishirikiana na Mkewe ambaye alikuwa ni mbunge wa CCM wa viti maalum.

Jambo moja ambalo tuna "uhakika" nalo mpaka sasa ni kwamba, Benki ya Twiga Bancorp imefilisiwa na CCM kupitia makada wake wakubwa ambao walichota pesa na kwenda kuzitumia kwenye kampeni za CCM mwaka jana.

Haya mambo ya 'kumzushia' Marehemu Masaburi alianzisha Ngosha, tena siku ile ya msiba wa marehemu Masaburi baada ya Kudai Marehemu alikuwa ana Wake zaidi ya Wanne na utitiri wa watoto wakati marehemu wakati wa uhai wake alikuwa akiweka wazi kuwa na Mke mmoja na watoto wanne tu.
Na ndugu zake wa karibu walisema hivyo hivyo alivyokuwa marehemu akisema.

Tuwaacheni wafu wapumzike.
 
Wa kwanza ni Mh. kncue8c2 kwjctw, alikopa kiasi cha shilingi Bilion hqw0u776 kwa ajili ya mradi wa hu1knd7. Mradi huu haujawahi kuanza na hauna dalili ya kuanza. Maombi yake yaliambatana na kimemo kutoka kwa aliyekuwa 86us262. Hakuwa na dhamana na hakuna dalili yoyote ya mteja huyo kurudisha pesa na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na benki hiyo. FUNGUKA HIVYO!
 
Wataje au na wewe ni mkopaji umekuja kupima upepo.
 
Back
Top Bottom