M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Subiri mpaka mwijaku nasikiaNaona ubunge ume geuka kazi ya wapuuzi Sasa.
Huyu huyu mpiga makelele radion au??1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Achen uchwa wa kuweka DR hata kwa wale ambao hawajasotea phd, hawaja graduate, ni matusi kwa waliopitia njia hiyo1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
2020 Mwijaku alichukua form jimbo hilo hilo la Kawe wajumbe wakamchinjilia mbali baharainiSubiri mpaka mwijaku nasikia
Ndiyo. Si anajua kusoma na kuandika ambayo ni sifa ya kikatiba ???? HahahaHuyu huyu mpiga makelele radion au??
Dr. wa kulelewa na wanawake na mzee wa mipira iliyokufa.Dkt wa nini?
😂😂😂
na sio jabu akachaguliwaSubiri mpaka mwijaku nasikia