PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
CCM kuna kila aina ya Dr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,Dr Maulidi Kitenge kuwania ubunge Jimbo la KAWE
Wema Sepetu nae yumo!!?😅😅Naona ubunge ume geuka kazi ya wapuuzi Sasa.
With this current trend of issuing PhDs in Tanzania like Groundnuts in our institutions , I am afraid By 2030, over 70% of the populations will have all their names flowered with the DRs ! It is becoming a nuisance !1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
kumpa u Dr ni uchawa1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Kama amefanikiwa kumteka Nusrat hanje basi nampa tano tena, ila ajipange, Nusrat anaongea kuliko twista.Dr. wa kulelewa na wanawake na mzee wa mipira iliyokufa.
Hizo sio shida zetuAchen uchwa wa kuweka DR hata kwa wale ambao hawajasotea phd, hawaja graduate, ni matusi kwa waliopitia njia hiyo
Jamaa anajua kulenga kwenye umate umateKama amefanikiwa kumteka Nusrat hanje basi nampa tano tena, ila ajipange, Nusrat anaongea kuliko twista.
Huyu jamaa alipata 'zero' o level pale alharamain1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Kitenge huyu huyu au mwingine1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon