Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Kijeba 😆😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepotea njia!1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Una uhakika gani kama anajua kusoma au la. Unaweza ukakuta mke wake Kila siku asubuhi kabla hajaenda kazini anamkaririsha vichwa vya habari.Anastahili ,Sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika ,huyu kaonesha anafahamu daily anatusomea magazeti na kutuchambulia habari ,
Kilichobaki ni ridhaa tu ya wananchi na chama chake !!,Mzalendo huyu
Ataweza kufika Kisiwani Ukinawa Japan kuomba meli za uvuvi kama Bishop1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Hatutaki mbunge chawa na shoga1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dr. wa kulelewa na wanawake na mzee wa mipira iliyokufa.
Aaah we jamaaHuyu jamaa alipata 'zero' o level pale alharamain
Kabisa. Masters tu ni muzikiAchen uchwa wa kuweka DR hata kwa wale ambao hawajasotea phd, hawaja graduate, ni matusi kwa waliopitia njia hiyo
Ni Dr wa mitishambaDr wavkusomea au wa mitishamba?