Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo.
Kila kitu huja kwa kukariri lol. Bila kukariri huwezi kuelewa. Bila kukariri huwezi kujua kusoma na kuandika, bila kukariri huwezi kushika verbs, bila kukariri huwezi kuhesabu, bila kukariri huwezi kushika table ya kuzidisha. Bila kukariri huwezi kushika kanuni za kufanyia hesabu.
Hata calculator imekaririshwa kanuni.
Hata computer imekaririswa kanuni.
Hata roboti linakaririshwa kanuni.
Hata sofwares, programes zinazakaririshwa kanuni na definition.
Hata translator zanakaririshwa pia maana za maneno.
Ni hivyo tu. Tatizo la elimu yetu ni lugha tu.
Haya anazungumza Dr. Meneja wa makampuni.
Elimu ya Tanzania inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.
Nirudie tena, elimu yetu inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.
Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?
Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.
Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.
Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Je, Wanakariri ili waweze kukuhifadhi kichwani walichofundishwa?
Je, Wanakariri ili waweze kuelezea wakipewa maswali kasababu tu hawawezi kuelezea kwa maneno yao wenyewe kwa kutumia lugha wanayotumia?
Je, ukiwambia waeleze kwa lugha ya kiswahili wataweza?
Tufanye nini katika elimu yetu, tutumie lugha ipi, tuanze kuitumia wapi ili kuweka msingi imara kwenye lugha ya kujifunzia.
Karibuni
Kila kitu huja kwa kukariri lol. Bila kukariri huwezi kuelewa. Bila kukariri huwezi kujua kusoma na kuandika, bila kukariri huwezi kushika verbs, bila kukariri huwezi kuhesabu, bila kukariri huwezi kushika table ya kuzidisha. Bila kukariri huwezi kushika kanuni za kufanyia hesabu.
Hata calculator imekaririshwa kanuni.
Hata computer imekaririswa kanuni.
Hata roboti linakaririshwa kanuni.
Hata sofwares, programes zinazakaririshwa kanuni na definition.
Hata translator zanakaririshwa pia maana za maneno.
Ni hivyo tu. Tatizo la elimu yetu ni lugha tu.
Haya anazungumza Dr. Meneja wa makampuni.
Elimu ya Tanzania inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.
Nirudie tena, elimu yetu inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.
Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?
Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.
Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.
Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Je, Wanakariri ili waweze kukuhifadhi kichwani walichofundishwa?
Je, Wanakariri ili waweze kuelezea wakipewa maswali kasababu tu hawawezi kuelezea kwa maneno yao wenyewe kwa kutumia lugha wanayotumia?
Je, ukiwambia waeleze kwa lugha ya kiswahili wataweza?
Tufanye nini katika elimu yetu, tutumie lugha ipi, tuanze kuitumia wapi ili kuweka msingi imara kwenye lugha ya kujifunzia.
Karibuni