Tetesi: Dr. Meneja wa Makampuni: Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

Tetesi: Dr. Meneja wa Makampuni: Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo.

Kila kitu huja kwa kukariri lol. Bila kukariri huwezi kuelewa. Bila kukariri huwezi kujua kusoma na kuandika, bila kukariri huwezi kushika verbs, bila kukariri huwezi kuhesabu, bila kukariri huwezi kushika table ya kuzidisha. Bila kukariri huwezi kushika kanuni za kufanyia hesabu.
Hata calculator imekaririshwa kanuni.
Hata computer imekaririswa kanuni.
Hata roboti linakaririshwa kanuni.
Hata sofwares, programes zinazakaririshwa kanuni na definition.
Hata translator zanakaririshwa pia maana za maneno.
Ni hivyo tu. Tatizo la elimu yetu ni lugha tu.

Haya anazungumza Dr. Meneja wa makampuni.

Elimu ya Tanzania inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.

Nirudie tena, elimu yetu inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.

Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?

Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.

Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.

Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Je, Wanakariri ili waweze kukuhifadhi kichwani walichofundishwa?
Je, Wanakariri ili waweze kuelezea wakipewa maswali kasababu tu hawawezi kuelezea kwa maneno yao wenyewe kwa kutumia lugha wanayotumia?
Je, ukiwambia waeleze kwa lugha ya kiswahili wataweza?
Tufanye nini katika elimu yetu, tutumie lugha ipi, tuanze kuitumia wapi ili kuweka msingi imara kwenye lugha ya kujifunzia.

Karibuni
 
Mbona hata waliosoma nje wengi wao hasa serikalini hawafanyi maajabu yoyote yale mfano nyoka la makengeza, mr.marope, nyalanduziii , Prof. muongo mzee wa umeme alisaini makaratasi bila kusoma😂😂😂🤭🤭🤭🤭🤭, wengi sana wamesoma na wanaijua lugha ila wamekuwa chanzo cha ufisadi, wizi na uhujumu uchumi na ukumbuke huko nje wanaheshimika sana ila ndani ni vituko!?

Hayati. Magufuli, alisoma Tanzania lugha anaifahamu na amefanya mapinduzi makubwa!

Tatizo ni mitizamo na tamaa za kijinga na siyo kutokujua kiingereza , kihindi au kichina

Malawi, Zambia, Uganda, Nigeria, Kenya, na nchi zingine zozote wanazotumia lugha za kigeni zote hizo hakuna jambo au kitu cha ajabu!

Peke naweza nikaona kuwa wanaotumia lugha yao wanao unafuu mkubwa mfano Rwanda
 
Kiswahili n kiarabu havipo ,COMPACTIBLE na kiingereza lugha inayoyumiwa na taaluma nyingi.

Kiswahili kikishakuwa cha kwanza kuingia kwenye ubongo sahau kujua hesabu na kiingereza

Mtoto anazaliwa anaanza kukaririshwa ma phase ya kiarabu na kiswahili halafu akianza shule ajifunze kwa kiingereza lazima atakuwa anachanganya ma tense tu hata awe profesa

Wazee wa zamani walifanikiwa kwa sababu kiarabu na kiswahili vilikuwa havijaenea kama sasa anatoka kijijini na lugha ya asili akiingia midle school madude yanapanda
 
Tatizo la elimu ya Tanzania sio kukariri bali ni ugumu wa lugha inayotumika bila kuwekewa msingi mzuri katika lugha hiyo.

Kila kitu huja kwa kukariri lol. Bila kukariri huwezi kuelewa. Bila kukariri huwezi kujua kusoma na kuandika, bila kukariri huwezi kushika verbs, bila kukariri huwezi kuhesabu, bila kukariri huwezi kushika table ya kuzidisha. Bila kukariri huwezi kushika kanuni za kufanyia hesabu.
Hata calculator imekaririshwa kanuni.
Hata computer imekaririswa kanuni.
Hata roboti linakaririshwa kanuni.
Hata sofwares, programes zinazakaririshwa kanuni na definition.
Hata translator zanakaririshwa pia maana za maneno.
Ni hivyo tu. Tatizo la elimu yetu ni lugha tu.

Haya anazungumza Dr. Meneja wa makampuni.

Elimu ya Tanzania inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.

Nirudie tena, elimu yetu inajengwa kwa msingi wa lugha ya Kiswahili baadaye inachanganywa na lugha ya kiingereza.

Wakuu naomba tusaidiane, hii sentensi inamaana gani? Yaani nikiwa naama kwamba wewe umeilewaje?

Kama tunapenda maendeleo ya kiuchumi kupitia elimu yetu tunapaswa kufanya jambo katika elimu yetu.

Pamekua na minong'ong'ono mingi kwamba elimu yetu ni ya vyeti tu ikiwa naama kwamba watu wanakariri tu na wala hawaelewi.

Maswali
Je, ni kwanini elimu yetu ni ya vyeti?
Je, ni kwanini wanafunzi hawaelewi?
Je, ni kwanini wanafunzi wanakariri?
Je, Wanakariri ili waweze kukuhifadhi kichwani walichofundishwa?
Je, Wanakariri ili waweze kuelezea wakipewa maswali kasababu tu hawawezi kuelezea kwa maneno yao wenyewe kwa kutumia lugha wanayotumia?
Je, ukiwambia waeleze kwa lugha ya kiswahili wataweza?
Tufanye nini katika elimu yetu, tutumie lugha ipi, tuanze kuitumia wapi ili kuweka msingi imara kwenye lugha ya kujifunzia.

Karibuni
Mtu mmoja amesomea biashara hadi PhD in business administration, kiingereza anakimudu vizuri sana ikiwemo na kiswahili. Lakini anazunguka huku na kule akifundisha theory za biashara na wala hana hata biashara moja ambayo ashawahi kufanya. Mwingine ni darasa la saba lakini anamiliki makampuni kadha yanayoajiri wenye degrees kuanzia moja na kuendelea kwenye.fani mbali mbali.

Yupi kati ya hao wawili unadhani ana elimu ya biashara?

Vitabu vyetu vya dini vinatwambia imani bila matendo imekufa. Pia elimu bila vitendo ni elimu mfu. Tatizo la elimu yetu si lugha ya kufundishia. Tatizo la elimu yetu ni ukosefu wa uhalisia katika matumizi ya elimu hiyo. Huwezi kuwafundisha watoto nuclear physics wakati hata hao wanaowafundisha hawajawahi kuona nuclear reactor inafananaje na inafanyaje kazi. Ni upuuzi kuwa na elimu ya aina hiyo.
 
Kiswahili n kiarabu havipo ,COMPACTIBLE na kiingereza lugha inayoyumiwa na taaluma nyingi.

Kiswahili kikishakuwa cha kwanza kuingia kwenye ubongo sahau kujua hesabu na kiingereza

Mtoto anazaliwa anaanza kukaririshwa ma phase ya kiarabu na kiswahili halafu akianza shule ajifunze kwa kiingereza lazima atakuwa anachanganya ma tense tu hata awe profesa

Wazee wa zamani walifanikiwa kwa sababu kiarabu na kiswahili vilikuwa havijaenea kama sasa anatoka kijijini na lugha ya asili akiingia midle school madude yanapanda
Mkuu umeongea mambo kuntu sana.
 
Mbona hata waliosoma nje wengi wao hasa serikalini hawafanyi maajabu yoyote yale mfano nyoka la makengeza, mr.marope, nyalanduziii , Prof. muongo mzee wa umeme alisaini makaratasi bila kusoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960], wengi sana wamesoma na wanaijua lugha ila wamekuwa chanzo cha ufisadi, wizi na uhujumu uchumi na ukumbuke huko nje wanaheshimika sana ila ndani ni vituko!?

Hayati. Magufuli, alisoma Tanzania lugha anaifahamu na amefanya mapinduzi makubwa!

Tatizo ni mitizamo na tamaa za kijinga na siyo kutokujua kiingereza , kihindi au kichina

Malawi, Zambia, Uganda, Nigeria, Kenya, na nchi zingine zozote wanazotumia lugha za kigeni zote hizo hakuna jambo au kitu cha ajabu!

Peke naweza nikaona kuwa wanaotumia lugha yao wanao unafuu mkubwa mfano Rwanda
Bila uzalendo yote ni bure
 
Mtu mmoja amesomea biashara hadi PhD in business administration, kiingereza anakimudu vizuri sana ikiwemo na kiswahili. Lakini anazunguka huku na kule akifundisha theory za biashara na wala hana hata biashara moja ambayo ashawahi kufanya. Mwingine ni darasa la saba lakini anamiliki makampuni kadha yanayoajiri wenye degrees kuanzia moja na kuendelea kwenye.fani mbali mbali.

Yupi kati ya hao wawili unadhani ana elimu ya biashara?

Vitabu vyetu vya dini vinatwambia imani bila matendo imekufa. Pia elimu bila vitendo ni elimu mfu. Tatizo la elimu yetu si lugha ya kufundishia. Tatizo la elimu yetu ni ukosefu wa uhalisia katika matumizi ya elimu hiyo. Huwezi kuwafundisha watoto nuclear physics wakati hata hao wanaowafundisha hawajawahi kuona nuclear reactor inafananaje na inafanyaje kazi. Ni upuuzi kuwa na elimu ya aina hiyo.
Yote bila uzalendo ni bure
 
Back
Top Bottom