Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter, Wakili Dr. Miguna Miguna ametangaza kurejea Nchini Kenya usiku wa Octoba 25, 2022.
Amesema kuwa ataondoka Toronto Octoba 24, 2022 na itakuwa ni safari yake ya kwanza Kurejea nchini humo kwenye kipindi cha miaka 5 ya kukaa uhamishoni.
Dr. Miguna aliondolewa Kenya baada ya kumwapisha Mhe. Raila Odinga kuwa Rais wa nchi hiyo mwaka 2007 kinyume cha Sheria za nchi hiyo.
Amesema kuwa ataondoka Toronto Octoba 24, 2022 na itakuwa ni safari yake ya kwanza Kurejea nchini humo kwenye kipindi cha miaka 5 ya kukaa uhamishoni.
Dr. Miguna aliondolewa Kenya baada ya kumwapisha Mhe. Raila Odinga kuwa Rais wa nchi hiyo mwaka 2007 kinyume cha Sheria za nchi hiyo.