- Great Thinkers tunatakiwa ku-applaud mwananchi yoyote au hata kiongozi anapokimbilia kwenye sheria kwanza, badala ya kulia lia majukwaani na kwenye media, au kwenye compromise za wananchi jimboni.
- Mahanga ni lazima aheshimiwe kwa kitendo kwa sababu ndio mfano bora kwa wengine wote na ndivyo alivyofanya Dr. Salim aliandikwa upuuzi na majungu akawatangulia kwenye sheria gazeti likahukumiwa kumlipa Shilingi Millioni 500 kidogo lifungwe kama sio huruma yake Salim kuwasamehe, sasa hapa sheria inataka kuchukua mkondo wengine tena mnabeza, hivi huwa mnataka nini hasa!
- I mean sometimes tunakua kama walevi bwana, Msemakweli ameandika habari ya kuwadhalilisha viongozi, mmoja wao ameamua kwenda kwenye sheria, eti mlitaka aende wapi kwa Rais au vikao vya NEC na CC?
- Sometimes tunawachanganya sana wananchi na hizi Great Thinking!
Respect.
FMEs!
Unaposema kawadhalilisha, you have already taken sides kuwa wewe unawatetea hawa mafisadi wa elimu kuwa hawana hatia; yaani Kainerugaba msemakweli kawaonea!! Tuiache mahakama iamue kama hayo aliyoandika Msemakweli ni kweli au sio. Let us not prejudice the case by insinuating innocence.