Kwa mitonyo tunayopata ni kwamba, kama si Modestus Kipilimba(ex DG-TISS) watu wengi zaidi , wanasiasa, wangeuwawa kwa amri ya Mwendazake.
Kuondolewa kwa Kipilimba ktika TISS ni baada ya kukataa kumueliminate mwanasiasa fulani maarufu aliyekuwa kero kwa Mwendazake.
Mtonyaji ameeleza kuwa wakati wa Mwendazake, alipandikiza vijana wake ndani ya TISS, kufanya kazi zake binafsi, na hao ndio walikuwa wasiojulikana.
Hao vijana wa Mwendazake walifanya uchafu mwingi sana ikiwa ni pamoja na kupora mali za watu.
(Wengine wamo humu JF)
Proffessional TISS staff wengi (waliopata mafunzo Mbweni na nje ya nchi) hawakufurashiwa na mambo hayo na ilikuweo stand off kati ya makundi hayo ndani ya TISS.
Mtonyaji akaendelea kuwa baada ya Kipilimba kukataa "kumuondoa" mwanasiasa huyo high profile ndipo akatimuliwa kibabe na kuwa roughened up hadi akalazwa.
Baadaye ndiyo akapewa ubalozi.
Hali ilikuwa mbaya ndani ya Idara na alipo ingia Diwani akaanza kazi, na ali side na proffessional TISS staff, na kuanza kuisafisha TISS kwa mbinu zile zile za kijasusi.
Wale vijana wa Mwendazake wakaanza kuwa eliminated, physically!
Pamoja na mengine mengi, huo ukawa mwanzo wa Mwendazake kuhamia Chato!