Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu
Akachunge wasiojulikana,Nje ya utumishi serikali nimtumishi wa mangu
Uchungaji kondoo utaendelea
Ulokole ni unafikiKumbe ni huyu aliyekuwa haendi kazini analala tu madhabahuni. Mlokole aliyeanzisha kundi la kuua watu, kuteka, kutesa na kuwabambikia kesi
Na wewe usinchanganye. Wa kwanza kasema alihojiwa na BBC. Wa pili eti aliongea NBC. Mwingine kaniambia alihojiwa na Reuters. Wewe unasema alihojiwa na Media za Bongo! Duh!Alitoa kauli akiwa huko huko na kukanusha JPM hajafariki alipoulizwa na media za bongo. Au ulidhani angetoa kauli akiwa Tanzania?
Nilikosea.Hii profile yake mbona inakinzana na statement yako ? Unaweza kufafanua zaidi ?
Dr. Modestus Francis Kapilimba | Tanzania Foreign Ministry Official List
Tanzania Embassies and High Commissions Oversees Foreign Relations, conducts diplomacy; creates foreign policy; operates embassies and provides visa and passport service; as well as working with other ministries within the Tanzanian governmentwww.tzembassy.go.tz
View attachment 2720308
Jidanganye na Wadanganye wasiojua lolote. Kwa Kukusaidia tu ni kwamba pamoja na kwamba Ameshastaafu ila Pensheni yake atakayokuwa akilipwa sasa itakuwa ni 80% ya Mshahara wa DGIS wa sasa.Ajiandae kulipwa laki moja kila mwisho wa mwezi
Brother, kuna tofauti gani kati ya taasisi na idara?Mkurugenzi wa zamani wa taasisi ya usalama wa Taifa, Dr. Modestus Kipilimba amestaafu utumishi wa umma baada ya uwepo wake Namibia kama balozi kuhitimishwa rasmi na Rais Samia.
Wewe ulibisha kwamba hakuwahi ongelea Hilo swala sababu hakuwepo Tanzania, issue iwe media ya bongo au idhaa ya kiswahili BBC; ujumbe ni kwamba punguza ujuaji sababu alitoa press release akiwa Namibia itoshe hivyo.Na wewe usinchanganye. Wa kwanza kasema alihojiwa na BBC. Wa pili eti aliongea NBC. Mwingine kaniambia alihojiwa na Reuters. Wewe unasema alihojiwa na Media za Bongo! Duh!
Alafu wanavyowasifiaga Sasa sijui majasusi sijui smart Cha ajabu hatuoni impacts zao hata huko ubalozini. Huyu si alikua NIDA ila Bado walifeli kutoa vitambulisho mpaka miaka 7 mtu anasubiri tu? Sasa huwa najiuliza hizo sifa zote za kazi Gani kama hatuoni faida yoyote?Alizira baada ya kupewa ubalozi. Alitarajia bado atapewa kitengo cha kuteka watu baada ya dhalimu kuelekea motoni.
Madhabahu ilikuwa ni cover tu ya kuficha udhalimu wakeAlikuwa mtu wa madhabauni hizo mishe alizifanyia wapi
Kumbukumbu zako ziko vizuri? Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa Balozi Namibia. Mwamba Jiwe Magufuli alifarikia mwaka 2021 wakati Kipilimba yuko Namibia. Halafu wewe eti alidanganya! Unakurupuka na nini?
hii ndio JF,Wakati wake huyu miili ilikuwa ikiokotwa baharini kila siku, nasikia aliunda kikosi kazi waliteka na waliua watu wengi sana, wizi wa kura nasikia ulikuwa unasimamiwa na kitengo chake, jitu la hovyo sana hili
nida alikaa muda gani?Alafu wanavyowasifiaga Sasa sijui majasusi sijui smart Cha ajabu hatuoni impacts zao hata huko ubalozini. Huyu si alikua NIDA ila Bado walifeli kutoa vitambulisho mpaka miaka 7 mtu anasubiri tu? Sasa huwa najiuliza hizo sifa zote za kazi Gani kama hatuoni faida yoyote?
Wanachoweza ni kuiba kura na kuteka wapinzani tu.
Kabisa, ukisikia hizo sifa zao unaweza kudhani ni watu wa maana, kumbe sifa yao kubwa ni kuumiza wengine kwa ajili ya kuwafurahisha viongozi.Alafu wanavyowasifiaga Sasa sijui majasusi sijui smart Cha ajabu hatuoni impacts zao hata huko ubalozini. Huyu si alikua NIDA ila Bado walifeli kutoa vitambulisho mpaka miaka 7 mtu anasubiri tu? Sasa huwa najiuliza hizo sifa zote za kazi Gani kama hatuoni faida yoyote?
Wanachoweza ni kuiba kura na kuteka wapinzani tu.
Itakuwa ni huyu huyu kachero mkuu kwa sabaabu ana boonge la mtumbo hadi linampa tabu kutembea....Kwa hivyo katumbuliwa?. Maana tuliambiwa Kuna balozi kwenye nchi za SADC ni mvivu.
Kwasababu hakuna ushahidi wa dhahiri, basi hakusema!Wewe ulibisha kwamba hakuwahi ongelea Hilo swala sababu hakuwepo Tanzania, issue iwe media ya bongo au idhaa ya kiswahili BBC; ujumbe ni kwamba punguza ujuaji sababu alitoa press release akiwa Namibia itoshe hivyo.