Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Tufanye mema ndugu zangu, umri unadanganya sana, miaka 30-50 yaana hapa unajiona hukui unajipa matumaini utaishi sana
Unaumiza watu, unafanya lolote la kufurahisha watu hata kama wanaumia
Ila 60 hii hapa, unabaki na mjuto japo unatabasamu usoni
Kipilimba atakufa ananuka damu za watu, mjuto yake mpaka siku ya mwisho
Unaumiza watu, unafanya lolote la kufurahisha watu hata kama wanaumia
Ila 60 hii hapa, unabaki na mjuto japo unatabasamu usoni
Kipilimba atakufa ananuka damu za watu, mjuto yake mpaka siku ya mwisho