Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kuweka sura ili tujue akitunyemeleaMkurugenzi wa zamani wa taasisi ya usalama wa Taifa, Dr. Modestus Kipilimba amestaafu utumishi wa umma baada ya uwepo wake Namibia kama balozi kuhitimishwa rasmi na Rais Samia.
Kipilimba alihudumu kama mkurugenzi wa usalama wa Taifa kwa miaka mitatu chini ya utawala wa Rais Magufuli(2016-19) kabla ya uteuzi wake wa kushtua kuwa balozi wa Tanzania nchini Namibia.
Uteuzi wake ulimfanya kuwa balozi wa kwanza wa Tanzania Namibia na kuwa mtu muhimu katika utengenezaji wa ubalozi huo jijini Windhoek.
Mwaka 2022 mwanasiasa Tundu Lissu alimtuhumu Kipilimba kuongoza kikosi kazi kilichompiga risasi mjini Dodoma, Lissu alisema wameua zaidi ya watu 400 maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji.
Pia, soma
=>Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
=>Rais Magufuli amteua Diwani Athuman Msuya Mkurugenzi Mkuu (TISS), achukua nafasi ya Dr. Modestus Kipilimba
=>Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba
Mwangonda na kapilimba ondoa hao wengine kweli ni watu wa haki na weledi Mwangonda sio alingoa kucha za Ulimboka bila ganzi??nisaidie kama nimekoseaBinafsi naona wakurugenzi wa usalama wa taifa walio acha alama na jina nzuri ni balozi Agustino Mahiga, Kanal Apson mwangonda, mchungaji Modestus kapilimba, Diwani athumani.
Mvinyo hautoshi atahitaji changaaDaaah! amestaafu,ila dhamira yake inajua vitu vingi sana.Hapo kama hataishi kwa kuendekeza mvinyo,kichwa chake kitapasuka kwa mawazo.
Alikuwa sio huyu mkuuNi miongoni mwa waliodanganya umma kwamba Magufuli anachapa kazi, kumbe kishakufa.
Hapana, kwa Ulimboka alikua Othuman RashidiMwangonda na kapilimba ondoa hao wengine kweli ni watu wa haki na weledi Mwangonda sio alingoa kucha za Ulimboka bila ganzi??nisaidie kama nimekosea
Naskia alikuwa kijana wa Membe akawa anamsogezea marehem intel info. Akashtukiziwa na Jiwe.Hapa
Kipilimba alikuwa na pistol kali sana ambayo iko verified kuingia nayo popote tz inaonekana wazi ; huyu ndio alimnyetisha mchonga juu ya bwawa la mindu morogoro miaka ya 80 wabrazili kuiba dhahabu na mchonga akawatimua ndani ya masaa 24
AiseePasta Makenzie Karudishwa kwa Kazi maalumu.
Kaja kuwadukua Mana yeye anajiitaga Ghost on the wire.
Sawasawa..Naskia alikuwa kijana wa Membe akawa anamsogezea marehem intel info. Akashtukiziwa na Jiwe.
Amini usiamini pia bashite alikuwa kijana wa marehem mwanadiplimasia mzoefu.
Namuomba msamahaHapana, kwa Ulimboka alikua Othuman Rashidi
Mbona Mahiga hakuwawhivyo baba wawatu mungu amuweke pema alikuwa mstaarabu sanaKazi za usalama wastaafu wao huwa wanakuwa na hali fulani ya upweke na kujutia uzeeni . Sijui kwanini.
Itakuwa hivyo bila shaka!!Kumbe ni huyu aliyekuwa haendi kazini analala tu madhabahuni. Mlokole aliyeanzisha kundi la kuua watu, kuteka, kutesa na kuwabambikia kesi
Seems aliona nafasi ya ubalosi ni demption.Mkurugenzi wa zamani wa taasisi ya usalama wa Taifa, Dr. Modestus Kipilimba amestaafu utumishi wa umma baada ya uwepo wake Namibia kama balozi kuhitimishwa rasmi na Rais Samia.
Kipilimba alihudumu kama mkurugenzi wa usalama wa Taifa kwa miaka mitatu chini ya utawala wa Rais Magufuli(2016-19) kabla ya uteuzi wake wa kushtua kuwa balozi wa Tanzania nchini Namibia.
Uteuzi wake ulimfanya kuwa balozi wa kwanza wa Tanzania Namibia na kuwa mtu muhimu katika utengenezaji wa ubalozi huo jijini Windhoek.
Mwaka 2022 mwanasiasa Tundu Lissu alimtuhumu Kipilimba kuongoza kikosi kazi kilichompiga risasi mjini Dodoma, Lissu alisema wameua zaidi ya watu 400 maeneo ya Mkuranga, Kibiti Kilwa Rufiji.
Pia, soma
=>Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
=>Rais Magufuli amteua Diwani Athuman Msuya Mkurugenzi Mkuu (TISS), achukua nafasi ya Dr. Modestus Kipilimba
=>Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba