Dr. Mpango alikuwa sahihi juu ya tatizo la hii nchi

Dr. Mpango alikuwa sahihi juu ya tatizo la hii nchi

badison

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1,450
Reaction score
2,761
Imagine kiongozi mkubwa serikalini anaenda kwa mganga. Hii amwamu kila kiongozi anamganga wake ndio maana kila mtu muoga muoga kufanya maamuzi kwa faida ya watanzania.

Dr. Mpango alishawaambia nyie viongozi acheni mambo ya imani za kishirikina, unakuta Mbunge, Waziri, Mkuu wa Mkoa au wa Wilaya, Katibu Mkuu na Wakurugenzi wengine suti kubwaa alafu ndani kavaa hirizi kiunoni.

Kama mnaogopa kulogwa acheni vyeo muwape nchi watoto wa Mungu.
 
Imagine kiongozi mkubwa serikalini anaenda kwa mganga. Hii amwamu kila kiongozi anamganga wake ndio maana kila mtu muoga muoga kufanya maamuzi kwa faida ya watanzania.

Dr. Mpango alishawaambia nyie viongozi acheni mambo ya imani za kishirikina, unakuta Mbunge, Waziri, Mkuu wa Mkoa au wa Wilaya, Katibu Mkuu na Wakurugenzi wengine suti kubwaa alafu ndani kavaa hirizi kiunoni.

Kama mnaogopa kulogwa acheni vyeo muwape nchi watoto wa Mungu.
Viongozi wa dini wenyewe wana hirizi na waganga wa kienyeji wana misahafu

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
viongozi wanapaswa kuwa makini na matokeo ya kauli zake

jana kuna Mheshimiwa katangaza kuwa samaki wa kanda ya Ziwa wanafugwa kwa kutumia maji ya kuoshea maiti

hii kauli inaweza kuua kabisa biashara yetu ya samaki ndani na nje ya Nchi
 
viongozi wanapaswa kuwa makini na matokeo ya kauli zake

jana kuna Mheshimiwa katangaza kuwa samaki wa kanda ya Ziwa wanafugwa kwa kutumia maji ya kuoshea maiti

hii kauli inaweza kuua kabisa biashara yetu ya samaki ndani na nje ya Nchi
Acha watu waambiwe ukweli
 
Back
Top Bottom