Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

Wapi tumejifanya wajuaji ? Na watu kufanya michezo iyo imeandikwa ni Sunnah? Kama anavyodai sipendi ushamba pita kushoto!
Kujifanya kujua kuchamba kwingi mwisho hutoka na mavi mkuu.. kujifanya kujua kwingi kubaya
 
Kibaya kupi? Umadandia comment sio yako kama sio shobo? Tuliza kibupa chapa lapa mbele
Wewe lete wapi pameandikwa shekhe mkuu anayo haki ya kuingilia faragha ya muumini yoyote wa kiislam? Km hakuna basi shona mdomo wako hujui unachokiongea

Pia leta wapi pameandikwa ni marufuku waislamu kuwaombea wakristu au wakristu kuwaombea waislamu, km huna fyta mkia wako kabisa
 
Mbona hata sioni sababu ya Dr. Mwaka kuongea yote hayo maana Sheikh Alhaj alichoongea kingebaki kama mtazamo wake tu sasa hayo ya kulawiti yanatoka wapi au Dr. Mwaka alienda kwa Mwamposa?
Kwa vile sheikh aliongelea yanayomhusu Dr. Mwaka, ni sawa na yeye kujibu. Kwani sheikh katajwa? yeye Dr. Mwaka kaongelea ukweli na kwa jumla jumla tu/ Ana haki ya kuongea au kwa vile sheikh wa mkoa kajihisi!
 
Ukiwa kiongozi wa dini halafu ukakemea maovu kwa mujibu wa dini unakuwa umeingilia faragha za watu?
Hurusiwi kukemea kwa waziwazi mpaka kila mtu anajuwa unamuongelea nani. Kwa nini sheikh mhusika asingemuita na kuongea naye kistaarabu, au viongozi wa dini ustaarabu hauwahusu.
 
Hawa vimbwenelehi wanataka kututoa kwenye tensionnya tozo na mbanga za Nchemba.

Tumewastukia wanatumika
 
Leta ushahidi kuwa ni makosa. Ni kifungu kipi, juzuu gani, surat ipi vinakataza mtu kulala na wake zake kitanda kimoja. Siyo kutuambia dini ya Kiislamu inakataza. Mtu yeyote anaweza kusema dini imekataza kumbe uongo. Leta ushahidi tujiridhishe.
 
Wacha ujinga zuzu mkubwa! Umeelewa nn namaanisha au shobo kausha sibishani na wajinga tafuta wapumbavu wenzio siepnde battle na madogo!

Huyo jamaa jiwe angavu kasema kwamba kufanya kitu fulani ni suna kama dhihaki kitu ambacho akipo ...sasa we na ujinga wako huelewi chochote unadakia pita kushoto!
 
Wacha ujinga zuzu mkubwa! Umeelewa nn namaanisha au shobo kausha sibishani na wajinga tafuta wapumbavu wenzio siepnde battle na madogo!
Kwa hio kuniambia kiistarabu umeshi ndwa hadi uniangushie mitusi kiasi hicho, alafu nani umemuona anataka battle na wewe nani mdogo ako? Acha dharau kua nyuma ya keyboard kusikudanganye unaweza ukawa unajibizana na baba ako kua na nidhamu kijana
 
Kila mtu apambane na dini yake

Kama we ni mkiristo ombewa na mkiristo mwenzako kama wewe ni muislamu ombewa. Na mwislamu mwenzako


Hatutaki tena hizi vurugu na mchanganyano na vijembe vya chinichini
Sisi wakristo tutaombea kila binaadamu maombi hayana mipaka tutafukuza maepo yote yaliyowaingia wanadamu wa Dini zote!,KARIBUNI KATIKA IBADA.
 
Kule Zbr wanaokiuka si wanafuatwa na kutiwa bakora! Kwanini na hao wasitendewe sawa na huko
Akasema Masheikh wafungue vituo vya dua vyao kuwasaidia wenye matatizo ili wasikimbilie kwa Mwamposa kwasababu haifai na siyo sawa kwa Mkristo kumuombea dua Muislam.
 
Hivi hili neno Dr. Huwa linamaanisha nini?

Mimi ninaweza kukutibu ngiri na kipanda uso. Je mimi ni Dr?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Una leseni ya udaktari na unatambulika na chama cha madaktari? Km huna na hutambuliki ukidakwa unatibu watu kinyume na sheria lazima wakusweke ndani utajieleza mahakamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…