Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Duuhh, kisa ni nini cha mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upsnde wa Mohamed Said ni ule ule wa ndugu katika imaanNitakuwa upande atakaochagua mzee Mohamed saidi
Wafuasi wa Mwamedi mu hodari kwa matusi [emoji23][emoji23][emoji23]Achana nae hanithi huyo! Hajielewi
Soma quote namba 17, Mwamposa anahusikaje hapa?Mbona hata sioni sababu ya Dr. Mwaka kuongea yote hayo maana Sheikh Alhaj alichoongea kingebaki kama mtazamo wake tu sasa hayo ya kulawiti yanatoka wapi au Dr. Mwaka alienda kwa Mwamposa?
Sasa Dini ya hakhi haijaruhusu hivyo. Inahitaji kila mke akae kwake Mwanaume umfuateKwa hio kuwatomba wake zake wawili kwa pamoja sio kitu kizuri au mimi sijaelewa vizuri?
Yaan mimi nioe wake zangu wawili alafu mtu aje kunipangia jinsi ya kuwatomba?
Kweli?
Waache wajibizane kwenye mitandao tujue Siri zao. Kumbuka MTU mwenye hasira huongea ukweli wote.Watafute ulingo waandae pambano tuweke pesa wachapane ngumi.
Majibizano na kutupiana maneno ni kupoteza muda.
Huku ni kwa Mwamposa umekuja kukanyaga mafuta ukiwa hujitambui.. sasa umepata ufahamu?Hivi huku nimefikafikaje?
Yaan ndio umesema unanipangia jinsi ya kuwatomba wake zangu au sio umeoa wewe au nmewaoa mimi?Sasa Dini ya hakhi haijaruhusu hivyo. Inahitaji kila mke akae kwake Mwanaume umfuate
Sio kila mwenye hasira anaongea ukweliKumbuka MTU mwenye hasira huongea ukweli wote.
Mwingine ndio huyo sasa MwamposaKama unamjua kuwa Sheikh fulani siyo mwema si umuache tu uende kwa mwingine?
Mzee mbona umeshindwa kuelewa vitu vidogo tu? Jamaa kasema kuwa Dr. Mwaka vs Kigwa ilikuwa kipindi kile sasahivi huyo mwaka kaanzisha vita nyingine na mtu mwingineKamtaja wapi Kigwangala? Acha uchonganishi
Sio kweli tunaruhusiwa kuombeana.. haijarishi wewe ni dini ganiKwa hiyo si sawa, kwa mfano makanisani huwa kuna maombi ya kuliombea taifa na hususani kumuombea rais wa nchi sasa ina maana maombi hayo yanayofanyika makanisani kumuombea rais muislam ni batili na kamwe Mungu hayasikii??!!
Kwa hio akaamua kufukua makaburi au sio?Dr. Mwaka vs Kigwa ilikuwa kipindi kile sasahivi huyo mwaka kaanzisha vita nyingine na mtu mwingine
Watu hawasomi vitabu..Ukitaka umfiche ngozi nyeusi weka ujumbe kwenye maandishi(kitabu)