Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 82
Homework nimekwisha fanya. Ni kosa la jinai kukataa wito wa chombo cha dola kama Polisi, Mahakama na PCCB. Sababu alizozitoa hazina mashiko kisheria na ndio maana wenzake wote wakaenda.
Huyu jamaa yako, kama mtunga sheria na mwana sheria, anaonyesha mfano mbaya mbele ya jamii kwa kuvidharau vyombo vya dola. You get me now sir?
Homework nimekwisha fanya. Ni kosa la jinai kukataa wito wa chombo cha dola kama Polisi, Mahakama na PCCB. Sababu alizozitoa hazina mashiko kisheria na ndio maana wenzake wote wakaenda.
Huyu jamaa yako, kama mtunga sheria na mwana sheria, anaonyesha mfano mbaya mbele ya jamii kwa kuvidharau vyombo vya dola. You get me now sir?
Jamaa anatakiwa kutii amri ya dola, PCCB ni chombo cha dola kama polisi na mahakama, huwezi kukataa wito wao, kufika kwako pale ni kuisaidia dola.
Jamaa kama mwanasheria anachemsha sasa, Richmond imempa kiburi.
Hivi wabunge wangine wote waliojiwa au kuna ambao walikataa kuojiwa kamwa mwakyembe?
Zitto,
Tunafahamu mengi sana kuhusu tabia hii ya wabunge kupenda extras. Kamati za bunge ni nuisense.
Kama ni malalamiko juu ya tabia hiyo kwa kweli ofisi za serikali zinajieleza kwa mengi saana. Wabunge mulishakuwa sugu.
Kinachonishangaza juu ya hili ni PCCB kulitekeleza kama kulipa kisasi kwa kuwaita wabunge selectively na kuwaacha wale ambao ni mawaziri. Kuanzia 2006 naweza kusema ni Wabunge woote wamesha ramba double payments, Pinda inclusive. Hapo kwa binadamu kama mimi topic hugeuka na kuwa witch-hunting.
Hata kama sheria imefuatwa, kwa idadi ya wabunge lazima iwe random exercise na siyo selective implementation. Mbaya zaidi ni PCCB ya Hosea ambayo ina sifa za kutosema ukweli wa wazi. Mbaya zaidi PCCB pia ilichunguzwa na tume ya Bunge. Pia ni mbaya kwamba ni hatua inayochukuliwa wakati Bunge linaelekea kuanza vikao, ndani yake kukiwa na mambo ya Richmond ambayo PCCB ilikuwa accused kwa kuyaficha.
Do I need to be intelligent to express my doubts on the move?
Subiri Mahakama itaamua, sasa wewe unakurupuka na kuja na uamuzi wako inakuwa ngumu kukuamini...naona unahisia za kisiasa zaidi kuliko kwenye haki Mkuu tk (teddy kalonga)
Kwa mtazamo wangu naona huu mjadala umeletwa ili kuwadivert watu kutoka kwenye masuala ambayo Bunge lilipaswa kupokea taarifa yake sasa. List za waliopewa posho bungeni na kwenye vikao sehemu nyingine inajulikana, wanawahoji ili nini, kama sheria inasema wazi posho ni moja tu? Nadhani tuanze kuwawajibisha kwanza wale waliolipa hizo posho huku wakijua hao wabunge wamelipwa walikotoka. Watasema wabunge wanashinikiza, hakuna sheria inayowalinda kuhusu hilo, tatizo mashirika mengi ya umma wanatumia hizo nafasi kuwanyamazisha wabunge kwa kuwalipa hizo posho ili wasiwabane, na pia ni loophole ya kufanikisha wizi wao. Huo uchunguzi kwa nini usifanyike kwenye nyaraka walizonazo? au hawana kumbukumbu kama kawaida yao?
Ikulu gani imeamuru uchunguzi ufanyike wakati Kagoda imeshikwa na kigugumizi kuichunguza? I doubt!
Wengi wamehojiwa.
ni huyu fisadi mwakyembe ndiye aliyekataa,akitegemea msaada wa fisadi nyangumi-mengi na nipashe.
Sasa analia na magazeti ambayo ndiyo yamempa hizi sifa ambazo anazililia.tutaona mwisho wake
Hapa kazi ipo, "fisadi" anapomwita mwenzake "fisadi!" God bless Tanzania na watu wake wote!
Pumba!
Nakwambia leo anazimwaga utadhani ni siku yake ya mwisho kuishi hapa duniani. Gooosh
Ni kutojua haki zako, siwezi kushangaa unakamatwa na traffic police unaambiwa nipe leseni unampa, nipe kadi ya gari unampa kisa na kuwekwa ndani eti ni polisi.....tujifunze haki na sheria ndogo ndogo.
lakini unatakiwa uangalie kinacho chochea takukuru kuchukua hatua hizi sasa ni nini, nia nzuri ya kuondoa tatizo hilo au kwa kuwa wabunge wanataka kumshugulikia Hosea (Takukuru)Si ndio maana Takukuru wanataka wawahoji wahusika ili wapate majibu ya maswali yote hayo? Watajuaje kama hawakuwahoji wabunge waliopokea ili wajue waliomba hizo fedha kwa madhumuni gani?
Wakitosheka kuwa ilikuwa si rushwa bali "kuwalainisha tu wasiingi ndani zadi katika uchunguzi wao" basi wataachiwa.
Viongozi wa Kitanzania na wananchi wake wote bure kabisa!......ni bendera kufuata upepo!......
Unawawajibishaje hao watoa posho kama wao wanasema wabunge tuliwaomba? Si lazima wabunge tuhojiwe kama ni kweli tuliomba. Pili, mashirika yanasema tumelipa wabunge. CAG haoni ushahidi wa kulipa wabunge, anapeleka taarifa mbele na huko nako wanapeleka takukuru. Si ni lazima takukuru wawahoji wabunge kama kweli walichukua pesa?
Unajua hapa ni ulinzi wa fedha za umma. Inawezekana kabisa mashirika yakawa yanasema yanawapa pesa wabunge wakati hayawapi na wanazila wao. Sasa unathibitishaje? Ni lazima wabunge tuhojiwe ama kama mashahidi au kama watuhumiwa.
Mbona jambo hili dogo?