Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 82
Homework nimekwisha fanya. Ni kosa la jinai kukataa wito wa chombo cha dola kama Polisi, Mahakama na PCCB. Sababu alizozitoa hazina mashiko kisheria na ndio maana wenzake wote wakaenda.
Huyu jamaa yako, kama mtunga sheria na mwana sheria, anaonyesha mfano mbaya mbele ya jamii kwa kuvidharau vyombo vya dola. You get me now sir?
Jamaa anatakiwa kutii amri ya dola, PCCB ni chombo cha dola kama polisi na mahakama, huwezi kukataa wito wao, kufika kwako pale ni kuisaidia dola.
Jamaa kama mwanasheria anachemsha sasa, Richmond imempa kiburi.