Dr. Mwele Malecela aula WHO

Dr. Mwele Malecela aula WHO

Ni ulimbukeni fulani.

Halafu huyu katika familia yake lazima kuna matatizo fulani huko nyuma, aliteswa sana, hakuoneshwa upendo, alinyanyaswa kwa aina fulani hivi.

Lazima kuna kitu kwenye familia huko.

Wazazi tuwe makini sana katika malezi ya mapenzi kwa watoto, unaweza kutengeneza monster kama Magufuli.
Yaani kama humu huwa anapita....
Siku ukiweza kuiweka chini yake ...atamaliza watu humu!

Ni kweli...maumivu ya utotoni yana athar nyingi...
 
Jiwe alipogundua kuwa siyo kichaa ikabidi amuondoe. Acha sisi vichaa tubakie kwetu.
 
Hivi anayeula Tanzania kila mara huwa ni Dr. Mwele Malecela tu peke yake? Najiuliza hivi kama isingekuwa huyu Mwanamama ' Kutotumbuliwa ' na Rais JPM tungekuwa tunamzungumzia hivi kila mara huku tukitumia ' teuzi ' zake anazozipata huko Nje kama fimbo ya Kumnanga / Kumsema Magufuli?

Tusilazimishe kwamba kila Mtaalam basi lazima awe anafaa katika Uongozi fulani na tujifunze pia kuheshimu Maamuzi ya Mtu juu ya Mtu fulani. Mbona hamshangai katika Mpira wa Miguu unakuta Mchezaji fulani ni mahiri / mzuri kabisa ila akija tu Kocha mpya na kutokana na mfumo wake ataonekana hafai na ama atamweka benchi au ataamua auzwe kwakuwa atakuwa hamuhitaji.

Sina shida na huyu Mwanamama Dr. Mwele Malecela kwani ni Msomi mzuri tu na si Msomi tu pekee bali pia hata Kichwani ( Upstairs ) bado ametukuka ila nachukizwa na tabia za Kiswahili / Kimajungu ambazo nimekuwa nikiziona hasa pale akipata tu ' Wadhifa ' fulani Watu wataupokea katika mwelekeo wa Kumsema Rais Dr. Magufuli kwamba ameacha Mtu muhimu.

Tubadilikeni tafadhali na siku zingine muwe mnatuwekea na Watanzania wengine ' walioula ' Kimataifa kwani wapo wengi tu ' otherwise ' tutakuwa tunaiendeleza ile ile tabia ' zoeleka ' ya Watanzania ' Wanaharakati ' ya Unafiki!
 
Mutangaza kuwa Tanzania kuna zika ni kukosa uzalendo, ni sawa na kusema ndege imekamatwa. But! When one door is closed another one is open!
 
Dr Mwele has been appointed the Director of Control of Neglected Tropical Disease at WHO (Duty station: Headquarters, Geneva).

Dr Mwele was previously Director in the Office of the Regional Director for the Africa Region (Duty station: Brazaville, Congo). Before she joined WHO, she served as the Director General for the National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania.

She is the first woman to hold this position.

She is also director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Program. Dr. Malecela holds a Bsc in zoology from the University of Dar es Salaam and an Msc and PhD in parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine). She specialized in filarial immunology, specifically on filarial immune evasion mechanisms.

Dr. Malecela has worked at the National Institute for Medical Research for 24 years, where she started off as a junior scientist. As director general, she has focused on institutional strengthening, research capacity building, and the translation of research into action, policy and practice.

Dr. Malecela has been in the forefront of priority setting for health research activities in Tanzania where she facilitated the Tanzania National Health Research Priority Setting process in 1999 and revision of these priorities in 2005.

Dr. Malecela chairs the Medical Research Coordinating Committee (MRCC), which is the main body responsible for oversight of health research in the country. She has served on a number of international committees including the Technical Advisory Group of the Global Program to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee and the advisory board of the Initiative on Public/Private Partnerships in Health (IPPPH).

Dr. Malecela is currently a member of the WHO Strategic and Technical Advisory Committee for Neglected Tropical Diseases and a member of the Medicine in Need Steering Committee on Innovation, Alliance and Translation Management (MITAM).

Dr. Malecela is also on the International Advisory Board of Grand Challenges Canada. She is an adjunct faculty member of the Public Health Sciences Institute of Morehouse College. Dr. Malecela was president of the Global Alliance to Eliminate Lymphatic Filariasis and chair of the representative contact group of the Alliance.

She has also been involved in a number of philanthropic organizations, chairing the Tanzania Chapter of the African Reflections Foundation and is on the advisory board of the Lake Tanganyika Floating Health Clinic.

Dr. Malecela is patron and Founder of the IMANI Group, which is a support group of people living with HIV/AIDS.

=======

Kwa wazungumza Kiswahili:

Hongera sana, Dr Mwele....

Habari nzuri sana. Kafanye kazi dada ubabaishaji wa bongo tuachie
 
Dr Mwele has been appointed the Director of Control of Neglected Tropical Disease at WHO (Duty station: Headquarters, Geneva).

Dr Mwele was previously Director in the Office of the Regional Director for the Africa Region (Duty station: Brazaville, Congo). Before she joined WHO, she served as the Director General for the National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania.

She is the first woman to hold this position.

She is also director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Program. Dr. Malecela holds a Bsc in zoology from the University of Dar es Salaam and an Msc and PhD in parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine). She specialized in filarial immunology, specifically on filarial immune evasion mechanisms.

Dr. Malecela has worked at the National Institute for Medical Research for 24 years, where she started off as a junior scientist. As director general, she has focused on institutional strengthening, research capacity building, and the translation of research into action, policy and practice.

Dr. Malecela has been in the forefront of priority setting for health research activities in Tanzania where she facilitated the Tanzania National Health Research Priority Setting process in 1999 and revision of these priorities in 2005.

Dr. Malecela chairs the Medical Research Coordinating Committee (MRCC), which is the main body responsible for oversight of health research in the country. She has served on a number of international committees including the Technical Advisory Group of the Global Program to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee and the advisory board of the Initiative on Public/Private Partnerships in Health (IPPPH).

Dr. Malecela is currently a member of the WHO Strategic and Technical Advisory Committee for Neglected Tropical Diseases and a member of the Medicine in Need Steering Committee on Innovation, Alliance and Translation Management (MITAM).

Dr. Malecela is also on the International Advisory Board of Grand Challenges Canada. She is an adjunct faculty member of the Public Health Sciences Institute of Morehouse College. Dr. Malecela was president of the Global Alliance to Eliminate Lymphatic Filariasis and chair of the representative contact group of the Alliance.

She has also been involved in a number of philanthropic organizations, chairing the Tanzania Chapter of the African Reflections Foundation and is on the advisory board of the Lake Tanganyika Floating Health Clinic.

Dr. Malecela is patron and Founder of the IMANI Group, which is a support group of people living with HIV/AIDS.

=======

Kwa wazungumza Kiswahili:

Hongera sana, Dr Mwele....
Hivi Jiwe anajisikiaje kumtumbua kwa umbea wa wanao mzunguka??
 
Ni ulimbukeni fulani.

Halafu huyu katika familia yake lazima kuna matatizo fulani huko nyuma, aliteswa sana, hakuoneshwa upendo, alinyanyaswa kwa aina fulani hivi.

Lazima kuna kitu kwenye familia huko.

Wazazi tuwe makini sana katika malezi ya mapenzi kwa watoto, unaweza kutengeneza monster kama Magufuli.
Usalama ungefanya kazi yake ingegundua kua jamaa hafai,ngoja tunyamaze wasije nitoa kucha
 
Meanwhile lemutuz yuko bize kupiga picha na wabebez..
Lemutuz kwa sasa ni mfanyabiashara wa kitabu (American experience) na mwekezaji (Lemutuz online TV) hivo "Kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake".
 
Unadhani unampiga chura teke kumbe unamwongezea spidi na mileage ! Endelea kupambana Mwele-the sky is the limit !
 
Ingekuwa mimi Le mutuz ningerudi nyuma kidogo nijitafakari huwezi kukaa mbele 15 years ukarudi bongo kufungua blog
 
ninachojuwa ni kwamba Dr Mwele lazima amepata baraka za serekali kuweza kupata hizo nafasi. Msiwachonganishe watu wakuu
Mmeanza upumbavu wenu...lile jitu lenye roho mbaya unafikiri litamsemea vizuri? Acheni ujinga, Dr.Mwele amepata nafasi hiyo kwa sifa zake period!
 
Back
Top Bottom