petro pilla Makondo
New Member
- Oct 12, 2017
- 4
- 2
Hongera kufukuzwa kazi si kuondoa riziki na karama uliyopewa na mungu vyote unaondoka navyo,bado utakuwa ni wewe kama mungu alivyokupangia,utampiga teke chura ........View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
CHEKI NA GOOGLE MKUUAlidumu kwa muda gani?
Kucha kuchwa yeye ni hapa kazi tu leo anaandika ya kutosomeka. Kuna siku atagraduate tusubiri. Dr. Malecela ni mtu wa kujiamini siyo kama half brother wake ambaye haijulikani alizaliwa wapi na kukulia wapi ninachojua aliacha mke kwenye appartments za Pelham NY wanakokaa watu wa kima cha chini.Huwa unaandika nini wewe mtu?
Ila ule ugonjwa alioutangazia ulimwengu umeikumba Tanzania nani aliuondoa? Ndiyo matatizo ya wataalam kuingilia siasa badala ya kubaki katika tasnia zao. Kutumbuliwa kwake kulikua sawa tu.View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Bora waeleze mpaka sasa sijajua kipi kilimsukuma kutangaza kuwa Taifa lilikumbwa na ule ugonjwa. Naona alitaka kuingia katika siasa baada ya mama yake sijui dada yake kutumbuliwa ukuu wa mkoa.hiyo tuzo haimaanishi kuwa hakufanya kosa lililomuondoa Katika Nafasi yake ya awali. Ni Vyema kajifunza kutokana na makosa.
Wewe unaishi Tanzania gani ambayo ilikumbwa na ZIKA? Ndiyo tatizo la kujifanya wamasiasa badala ya kubaki ktika taaluma zao. Hata kama mimi ni rais mtu anayetangazia Ulimwemgu kwamba nchi imekumbwa na zika wakati ni uongo ningemtumbua hata kama amebaki peke yake mtaalam. Siasa za kina Lissu na Zitto zilimponza. Wenzake walisema kuna baa la njaa yeye akatumia taalum na nafasi yake kusema uongo bila kujua yeye nivtofauti na kina Lissu maana ni wa kuteuliwaDah.. Hapa hakueleweka!
Zika bado ipo aliyoitangaza ninyi mnaoishi Tanzaniasyzonjay the saddist
Kama ni mpambano wa ndondi tayari ushapigwa TKO..
Ataishia kuchezea vinyesi vya binadamu maabara.Unajua mfumo wa kuiungozi wa nchi kama Tanzania na tofauti yake na UN systems?
Naona umekurupuka tu... the word "MAYBE" was catchy