Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Baba yakeHuyu ana uhusiano na john malecela???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yakeHuyu ana uhusiano na john malecela???
Likimshuka akili huwa zinabiliginata. Hata mwenyewe hajui kaandika niniHuwa unaandika nini wewe mtu?
The problem was ccm now the problem has given birth to a bigger problem magufuli sjui nimalizie ..........Tatizo ni kwamba yeye mwenyewe ni majanga tu! Mwizi, muongo, fisadi, utendaji ZERO. Kule China siku nyingi wangekuwa wameshamchapa risasi kwa ufisadi wake. Hapa kwetu wamemkingia vifua hatimaye wamemsukumizia Ikulu.
na kashamtumbua ....................... ila utashangaa anaweza kuweka mtu wa ajabuajabu sanaNimeona clip mtandaoni Hiyumani fesi akimkemea mama mmoja, Yule mama anajiamini kweli kweli
hata lipumba alisoma na kuelewa.... hahahahah... wapo wengu sana...Huyu hakukariri alisoma Na kuelewa
Hongera kwake
Kuwemo nchini na kuzingirwa na ya siasa..[/QUOT
lipumba nae ni wasisiem?Hongera yake poleni CCM na wanafiki wenzenu
CCM B huyolipumba nae ni wasisiem?
Safi sana. Wazungu wanajua umuhimu wa mtu katika jamii ila sisi waswahili tunajua siasa tu. Pongezi kwako dada Le Mutuz.View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Kama atajisikia uchungu asage chupa anywe tu hakuna namna nyingine. Hapa viwango tu!Sijui huyu jamaa wa chuki anapata ujumbe gani??
Kama ni mpambano wa ndondi tayari ushapigwa TKO..Eeeeh
Wewe mdakiaji.. ona unamuunfa mkono mtu ambaye ninapambana naye kwenye itikadi zetu.. anajua nondo zangu hivyo nimemzoea yeye uponda kila langu.. anajaribu kunipondea nondo zinazomchoma haswa.
Bwana Daud AlbertSisi mshindi wetu ni Bashite.
YesBwana Daud Albert