Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine

Hizo tuzo nizakutafta kiki, kupata mia na plactical nitofauti mkuu usiogope
 
..huyu ndio dadaye na Lejingaz ?

Masikini dadaetu hukumuachia hata akili kiduchu kubwajinga lembebez from Lumumbaz ?
Sio mama mmoja, mama yao dr. akipandisha madarasa pia. Ni kati ya wake wanawake wakiopata kusoma Loleza Girls enzi za mkoloni.
 
Ni Mkurugenzi wa WHO Africa
Ni kweli... na mfumo wa UN una taratibu zake... Bahati nzuri kule alipo, she is doing more of research kuliko kucheza na siasa za uongozi na utawala wa kitanzania

Scenarios ni mbili tofauti ingawa kote kuna bureaucracies zake
 
unajua saa hv anashikilia position gan???
au na ww ulikua unawahi kucomment??
Unajua mfumo wa kuiungozi wa nchi kama Tanzania na tofauti yake na UN systems?

Naona umekurupuka tu... the word "MAYBE" was catchy
 
Ni kweli... na mfumo wa UN una taratibu zake... Bahati nzuri kule alipo, she is doing more of research kuliko kucheza na siasa za uongozi na utawala wa kitanzania

Scenarios ni mbili tofauti ingawa kote kuna bureaucracies zake
Halafu kule analipwa dolaz nyingi sana,sio huku milioni 5 masimango kibao
 
Wakurugezi wa Bukoba msijali,mlango huu ukifungwa Mungu atakufungulia mwingine tena wa heri Zaidi.Mfano ni Dr Mwele Malecela.Mungu wabariki wakurungezi wetu wa Bukoba sisi tuliofanya nao kazi tunajaua juhudi zao zilivyokuwa.
 
Nilidhani ni mimi tu ndio huwa simuelewi, kumbe tupo wengi mkuu

Eeeeh

Wewe mdakiaji.. ona unamuunfa mkono mtu ambaye ninapambana naye kwenye itikadi zetu.. anajua nondo zangu hivyo nimemzoea yeye uponda kila langu.. anajaribu kunipondea nondo zinazomchoma haswa.
 
Hongera yake,ila ukiharibu kazi usitegemee kuachwa kwa sababu ya elimu yako..
 
The stone that builder refuse, always be the head cornerstone!

Sing and praise


Robert Nesta Marley
 
Ndiyo maana kwa afrika hasa black colour kuendelea ni ngumu, tunapenda sifa na fitina
 
View attachment 625580

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.

Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Hongera sana Dr Mwele. Jiwe lililowashinda Waashi limekuwa jiwe la pembe. Go go go Dr Mwele Go !!!
 
Back
Top Bottom