Dr. Myles Munroe

Dr. Myles Munroe

Mafundosho yake yalieleweka sana!
Alitimiza kusudi lake la kuwepo kwake Duniani ipasavyo.
 
Ndio jamaa Ana mafundisho nadhani katika wabongo wanamsikiliza Sana mimi nipo

Lakini mkuu kifo chake hakikua mpango wa Mungu we ungeishia pale juu tu [emoji23][emoji23][emoji23], mtu Afe kwa ajali ya ndege useme mpango wa Mungu

I love this man, his philosophical antiques sio za nchi hii
 
View attachment 2588545
Kuna wakati hapa niliweka mada kuhusu huyu binadamu wa ajabu. Mtu usipomfuatilia utamwona wa kawaida sana, ila ukianza kumsikiliza utagundua ana mambo mengi. Dr. Myles hata alipokuja Tanzania nilibaki kumsikia tu na kuona mabango yake na kupotezea. Nillipokuja kuanza kumfuatilia youtube na vitabu vyake ndio nikaona kwa kweli niko shallow sana kidunia na kiroho. Sijajua watu kama hawa wanapataje ufunuo mkubwa hivi.

Mada ambayo sikujua iliishia wapi nilijaribu kuuliza ilikuwaje akafa? Kweli kifo chake kilikuwa ni wito wa Mungu au ni matakwa ya binadamu? Kuna watu hujiulizi mara mbili kuwasikiliza na kuwafuatilia. Apumzike kwa amani
Alifariki baada ya ndenge yake binafsi kugonga Winchi (crane ) akiwa anatua kwenye uwanja wa ndege.
 
Baada ya kumfatilia nilihisi wenye upinde wao wamemrestisha in peace mana huwa hawapendi watu kuponda mambo yao waziwazi
 
View attachment 2588545
Kuna wakati hapa niliweka mada kuhusu huyu binadamu wa ajabu. Mtu usipomfuatilia utamwona wa kawaida sana, ila ukianza kumsikiliza utagundua ana mambo mengi. Dr. Myles hata alipokuja Tanzania nilibaki kumsikia tu na kuona mabango yake na kupotezea. Nillipokuja kuanza kumfuatilia youtube na vitabu vyake ndio nikaona kwa kweli niko shallow sana kidunia na kiroho. Sijajua watu kama hawa wanapataje ufunuo mkubwa hivi.

Mada ambayo sikujua iliishia wapi nilijaribu kuuliza ilikuwaje akafa? Kweli kifo chake kilikuwa ni wito wa Mungu au ni matakwa ya binadamu? Kuna watu hujiulizi mara mbili kuwasikiliza na kuwafuatilia. Apumzike kwa amani
UKITAKA KUWA BORA, FUATIA MASOMO YA HUYU MWAMBA. BABA WA WALIMU WA SAIKOLOJIA
 
Huyu mwamba alikufa yeye na mke wake kwenye ajali ya ndege huko Bahamas 2014.
Ndege iligonga crane kwenye eneo la maegesho ya meli wakati inatua.

Sidhani kwamba hicho kifo kilikuwa na mkono wa mtu.


Kama sio mkono wa mtu kilikuwa mkono wa nanii??
 
Back
Top Bottom