duocore
Member
- Aug 27, 2012
- 55
- 5
Wana JF hivi karibuni matokeo ya kidato cha 4 yametangazwa tena na Waziri katika hali ambayo haikuzoeleka. Dr. Ndalichako kama mwanafalsafa na mama hakuonekana kuwa na furaha juu ya matokeo hayo. Kimsingi athari za matokeo haya ni kubwa, mf. ni wangapi watafaulu kwenda elimu ya juu? Udahili utakuwa mdogo vyuoni, fani zingine zitakosa wadahiliwa, wahadhiri watafanya nini? Dr. Ndalichako kama mwanafalsa na mama, simamia utu wako, pumzika mama yetu, wanasiasa watakupelekesha mwisho uonekane kuwa ovyo.