Jamani kama mtu una chuki binafsi usiziweke humu, kama mtu haujafanya utafiti wa kisayansi ya vyakula usilete siasa hapa, eti aya ipi inasema usile nguruwe hata kama ipo inaonekana hautafuata maana sio wote tunafuata mafundisho ya kidini, tusiwaite wengine waongo au wazandiki bila kuwa na justfication. Kama vipi nenda kinyume na ulaji anofundisha uugue kisukari ndio uende kwake akupe dawa na masharti ya mpangilio wa chakula uufuate alafu mwisho usipopona ndiyo hapo umkosoe.
Mafundisho ya ndodi kuhusu lishe na dawa ni sahihi kabisa. Kuhusu kuvaa suruali ndodi hajasema wanawake wasivae suruali bali wasivae suruali za kubana mtu anasema wazungu na wachina wanvaa suruali lakini hujaweka wazi ni za aina gani wachina wanavaa cotton na si za kubana wazungu asilimia kubwa wanavaa kaptula au suruali nzito wakati wa baridi. Hebu angalia wale black Americans wanaovaa tight trousers walivyo na vitambi na maumbo mabaya. Mwingine anadiriki kusema tangu ameanza kuvaa suruali za kubana mpaka sasa ingekua ni bwawa nakushauri uwe unasikiliza vizuri siyo kwamba maji yanatoka wakati wote bali wakati mahsusi pale unapopata mguso au unapokua faraga sasa endelea siku usipoachwa kwa kumfanya samaki mzee wakati anaingia ikulu.
Nawashauri ndugu zangu kama mtu unataka kupinga kitu kilichofanywa kiutafiti fanya utafiti wa aina ile ili uone matokeo ni yaleyale au tofauti? Tuache blabla watanzania, hasa pale maslahi yetu yanapoguswa vibaya. wachina wanaleta dawa zao, wazungu wanaleta wala hatuongei kitu ingawa zina kemikali zenye madhara mwilini sasa mwenzetu kaja na dawa isiyokuwa na side effect mnamtukana. Jamani ingia google search omega wash