Dr.phone tazama humu na wenye ujuzi wa simu.

Dr.phone tazama humu na wenye ujuzi wa simu.

Nimewasoma saana embu chukueni kubwa juuuuuu!(bg up) vp hwk kwa dar nitapata kwa nani? Na ina bei gani? Je pale city phone au kwa naeem wanazo?au kwa mwesigwa kule posta?
 
Nimewasoma saana embu chukueni kubwa juuuuuu!(bg up) vp hwk kwa dar nitapata kwa nani? Na ina bei gani? Je pale city phone au kwa naeem wanazo?au kwa mwesigwa kule posta?

kwa naheem utapata mkuu
 
dr.phone mimi nina n95 8gb ambayo iko locked to orange uk unaweza ukaniambia how naweza ku unlock simu yangu
 
dr.phone mimi nina n95 8gb ambayo iko locked to orange uk unaweza ukaniambia how naweza ku unlock simu yangu

hyo ni sp-code inafunguliwa kama unabox na software naweza kukuelekeza ufanye mwenyewe
 
Nashkuru saaana kiongozi kwa ushirikiano wenu.
 
Eti wadau,miaka ya 2005 kulikua na fundi simu mmoja alikuwa pale karibu na Hidery plaza alikuwa anaitwa MKUDE,hivi now days yupo wp na anafanya nini?Je kama bado angekuwepo mpaka sasa ufundi wa simu apa Tanzania ungekuwaje? Maana alikuwa yupo makini na kazi those day
 
mkuu sio mimi nimeshindwa kumwambia mambo ya credit ukimtajia dola anaweza asikuelewe
Mkuu najua hujashindwa kumpatia option ya Pay. ila ulimpatia option ya kuwa na Interface na mimi nikaona niunganishe na option ya online unlocking thru codes. nafkiri atawewe unafungua simu za sl3 kunakitu kinaitwa Pay ili upate codes. Na atakuja mwingine hapa na option ambayo hatujaitaja, mwisho wa siku ni huyo Zolong1 atachaguwa nini kinamfaa zaidi. But your option is excellent maana unampa na maelekezo. kama kuna neno zaidi ya excellent basi nigekupa hilo neno. coz wengine wanakuambia AT YOUR OWN RISK
1. Interface + software with full free support from Dr Phone
2. Server + client software / or buy codes from the operator
3.
4.
 
Kiongozi Katika net ya 4ne mbona sioni option ya thanx?
 
sio senkyu pekee hata button ya "Reply With Quote" hakuna kwenye iphone yangu nikiweka pc mode ndo vyote vinaonekana ila muonekano unakuwa sio mzuri.
 
Mkuu najua hujashindwa kumpatia option ya Pay. ila ulimpatia option ya kuwa na Interface na mimi nikaona niunganishe na option ya online unlocking thru codes. nafkiri atawewe unafungua simu za sl3 kunakitu kinaitwa Pay ili upate codes. Na atakuja mwingine hapa na option ambayo hatujaitaja, mwisho wa siku ni huyo Zolong1 atachaguwa nini kinamfaa zaidi. But your option is excellent maana unampa na maelekezo. kama kuna neno zaidi ya excellent basi nigekupa hilo neno. coz wengine wanakuambia AT YOUR OWN RISK
1. Interface + software with full free support from Dr Phone
2. Server + client software / or buy codes from the operator
3.
4.

tupo pamoja mkuu wote wamoja
 
i think i preffer option ya codes kwasababu nina data that i can't loose
 
dr.phone mimi nina n95 8gb ambayo iko locked to orange uk unaweza ukaniambia how naweza ku unlock simu yangu

Mkuu hivi Nokia N95 zipo aina ngapi? Me nina N95 ila sio 8gb je ni mchina? Au zipo aina nyingi?
 
Back
Top Bottom