Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zipo aina mbili n95 na n95 8gb
zipo aina mbili n95 na n95 8gb
senkiyuuuuuuuuu sanaaaaa!!!!!!!!
ni kweli
Roger thatjaribu kureply na quote ili tuelewe vizuri
talking about phone issues nina swali lifuatalo. is it possible kukatengenezwa telephone directory yenye mobile phones zote na majina ya wahusika kama wafanyavyo ttcl? i think kwa mtindo huu hata mambo ya uhalifu na kashfa mbalimbali za kutumia cellphones yatapungua.
Swali: Nina simu Nokia 5230 BB5 SL3 imelokiwa kwa 3G network UK, inaweza kufunguka?
inafunguka ila kwa credit inagarama kidogo
subiri na calvin power akupe dondoo zaidi
inafunguka ila kwa credit inagarama kidogo
subiri na calvin power akupe dondoo zaidi
BB5 Easy Service Tool version 1.10.1 inaweza kusaidia?
Dr Phone is 100% right.BB5 Easy Service Tool version 1.10.1 inaweza kusaidia?
Dr Phone is 100% right.
Kama alivyosema Drphone, Nokia 5230 ni BB5 na iko kwenye category ya Security Level 3 kifupi SL3. Simu hizi PM field 308 imekuwa protected sana. Huwezi kuandika/kubadili/ku-modify chochote humo ndani ya hiyo field 308, iwe ku-flash ama local mode condition. PM field 120 ndio kuna SIMLOCK DATA na INASHIRIKIANA na PM area 308. Hakuna algorithm ya ku-generate code kwa njia ya IMEI na MNC+MCC. Codes zinakuwa-generated kutoka kwenye Data flani hivi, lakini sina uhakika sana maana najiuliza hawa network operators, wanapata wapi codes? Tukiacha Network operators, Kuna wajanja wameingia na Idea ya gharama ya IMEI calculations nafriki 100% watakuwa connected na nokia server SX4/SX5 na watakuwa wanacharge hela ya server na faida yao kidogo.Wapo wengine wanaotumia calculations kwa Brute force. Hii mbinu inawalazimu kuwa na computer nyingi sana ambazo zina nguvu ya kufanya Brute force, processors zake sio CPU bali ni GPU. Angalia Griffin Team Brute force centre kwenye picha nilizoweka. na hata ukipata iyo brutefoce bado kuna calculations za kufanya ili upate codes. Ni kazi ngumu sana na ndio maana inagharim sana na inachukua muda kupata codes. Dr Phone nikikupa gharama za kuwa na hako kachumba kamoja ka kufanya brute force utazimia.
ili upate code ndani ya dakika 1.5min itakulazimu kuwa na hizo GPU machines kama pisi 1000 hivi kadiria moja ni euro 2500 total itakuwa euro2.5milioni na zitafakamia umeme wa 800kw katika hizi dakika 1.5min sasa fikiria kama unafanya simu nyingi lazima utahitaji viyoyozi vikubwa ili upooze hizo GPU machines, Umeme unazidi kumegwa hapo tena. mkuu hii project ni garama sana na ndio maana unaona hakuna watu wengi wanao jishughulisha huko, ata wakongwe kina Manole, Raskal, Saras, Zulea hawanusi huko. kuna hawa jamaa wa UBbox check operation log yao
6303C CLASSIC
Connecting to server: US3
Your log is under processing and may be ready in 11 days, 22 hours, 36 minutes.