Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Dr. John Pombe Magufuli ametangazwa rasmi kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya 5 baada ya kuongoza kwa kupata kura 58.46%.



Lubuva: Kwa kuwa mheshimiwa Dr. Magufuli, John Pombe Joseph wa CCM amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote, kwa niaba ya tume ya taifa ya uchaguzi na kwa mujibu wa vifungu vya 35(e), 35(f) na 81(b) vya sheria ya taifa ya uchaguzi sura 343.

Ninatangaza rasmi matokeo ya uchaguzi ya urais wa mwaka 2015 kwamba

  1. Mheshimiwa Magufuli John Pombe Joseph amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
  2. Mheshimiwa Samia Hassan Suluhu amechaguliwa kuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Asanteni kwa kunisikiliza.


 

Attachments

  • hongera Pombe.jpg
    27 KB · Views: 13,546
Last edited by a moderator:
Ameshinda kwa asilimia 58.4% the lowest percent in history of Tanzania
 
Where do you see Tanzania five years from today...mungu akulinde, akupe nguvu, akujaze hekima na busara...Goodluck sir.

 
Last edited by a moderator:
Huyu ndiye Rais Mteule wa Tanzania aliyechaguliwa na watu milioni 8.8 kati ya watanznia milioni 48 including watoto wetu.

Kazi kwetu watanzania

Du! Kweli ndiomaana wanatuongoza vile!!!
Bas Mimi CpG kura tena
 
Nimemwambia mwenyekiti wangu wa kule kijijini ajipange kupokea mil 50 na pia mwwenyekiti wangu wa mtaa kupokea mil 50. Ni raha tupu
 
hongera Magufuli na Samia, CCM wamecheza kama Pele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…