The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
Ili hitaji uwe na akili za chawa kufikiri Magufuli asinge tangazwa mshindi.
USHINDI WA MASHAKA.
USHINDI WA MASHAKA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemwambia mwenyekiti wangu wa kule kijijini ajipange kupokea mil 50 na pia mwwenyekiti wangu wa mtaa kupokea mil 50. Ni raha tupu
Wizi wa kura umemuweka madarakani, Mungu atalipa!
Hogereni watanzania, tumepata Rais,
Hongera kwako Dr. Magufuli kwa kupewa dhamana hiyo na watanzania.
Sasa ni kazi tu.
Mtajua wenyewe na li-nchi lenu.
Mnaosema hapa kazi msije mkalalamika kuwa hamna kazi. Tunasubiri viwanda nchi nzima. Tunasubir mil50 kila kijiji.
Hogereni watanzania, tumepata Rais,
Hongera kwako Dr. Magufuli kwa kupewa dhamana hiyo na watanzania.
Sasa ni kazi tu.
siji kupiga kura tena mpaka nakufa